Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
Mbona leo anawakataa watoto wake?Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
Makonda anajua Siasa za makundi zina madharaSteve Nyerere na Lucas Mwashambwa aibu yenu maza kasanda wajinga nyie
Uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa wa tofauti sanaMbona leo anawakataa watoto wake?
'Chawa wa Mama' nao anawakataa???
Au anawatuma huku anatuzuga? Wanasiasa sio wa kuwaamini kabisaRais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
Mbona yeye anapenda makundi?Makonda anajua Siasa za makundi zina madhara
Waione machawa wote wanaopayuka huku bongo zao wakiwa wameziweka pembeni.Mtu mwenye akili timamu ukimsifia anafurahi,lakini ukimsifia sana sana hadi ukavuka mipaka anakereka
Kwahiyo chawa wake akina Lucas wanasemaje kwenye hili maana anazidi kuwanawa kila sikuRais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
AmeshajifunzaMbona yeye anapenda makundi?
Mambo ya NyakatiSasa wale wahuni anaowaalika kila mara Ikulu ni wa kazi gani ?
Asitudanganye , Tumestuka !
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
Wauza sembe na ganda lazima wajiite chawa kusudi wasikamatwe kirahisiAmeshajifunza
Chawa ni wapuuzi sana
Ameanza kushituka kuelekea uchaguzi mkuu watu wanaishi kwenye umasikini wa kutupwa lakini chawa wananenepaSafi sana. Hiyo ndiyo kauli anayotakiwa kuwa nayo kiongozi. Tena aseme kabisa hawataki chawa, wala sifa za kinafiki kama zile za akina Mwashambwa.