Rais Samia awakana machawa, asema yeye hana makundi

Rais Samia awakana machawa, asema yeye hana makundi

Sidhani kma ameongelea vikundi vile sijui
Chawa wa mama
Watoto wa mama kizimkazi
Au samia gang.
Ameongelea makundi ya viongozi wake. Wengine hawamtaki wengine wabamtaka.
 
Ni wale vichaa kama wewe
mie niite utakavyo hiyo haina shida, uongozi ni jalala, kazi ya kiongozi ni kua mstahimilivu na kuonyesha njia sio kutukana...
hiyo mbaki nayo wenywe....

ila hawa wanainchi wanyonge hawa, ambao hata kibaraka pamoja na wew mnawatongoza wawapatie kura siku za uchaguzi,
hamtaweza kuwabeza na kuwadharau kwa kuwaita kama mnavyo waita halafu eti wawachague ninyi...

thubutu....
hiyo itawezekana labda kwa mabwenyenye sio Tz...
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.

Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.

Eltwege amepata Pigo leo
 
mie niite utakavyo hiyo haina shida, uongozi ni jalala, kazi ya kiongozi ni kua mstahimilivu na kuonyesha njia sio kutukana...
hiyo mbaki nayo wenywe....

ila hawa wanainchi wanyonge hawa, ambao hata kibaraka pamoja na wew mnawatongoza wawapatie kura siku za uchaguzi,
hamtaweza kuwabeza na kuwadharau kwa kuwaita kama mnavyo waita halafu eti wawachague ninyi...

thubutu....
hiyo itawezekana labda kwa mabwenyenye sio Tz...
Tulia kwanza
 
WhatsApp Image 2024-03-13 at 14.52.55.jpeg


View: https://www.youtube.com/watch?v=SniczVL6EBk
 
Back
Top Bottom