Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Mwalimu wangu wa Kiswahili alipenda kuniandikia hivi nikiwa Shule ya Msingi😂😂
Vema sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu wangu wa Kiswahili alipenda kuniandikia hivi nikiwa Shule ya Msingi😂😂
Vema sana
Mkuu umeamini kweli kanusho la maza hana makundi?Steve Nyerere na Lucas Mwashambwa aibu yenu maza kasanda wajinga nyie
waTz wanawafahamu sana, uwerevu wao utawapa mihemko zaid kwenye debe ili muwaite majina yote mabaya mliowaandalia...Mtu kama wewe una akili sasa?
mie niite utakavyo hiyo haina shida, uongozi ni jalala, kazi ya kiongozi ni kua mstahimilivu na kuonyesha njia sio kutukana...Ni wale vichaa kama wewe
Eltwege amepata Pigo leoRais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
Tulia kwanzamie niite utakavyo hiyo haina shida, uongozi ni jalala, kazi ya kiongozi ni kua mstahimilivu na kuonyesha njia sio kutukana...
hiyo mbaki nayo wenywe....
ila hawa wanainchi wanyonge hawa, ambao hata kibaraka pamoja na wew mnawatongoza wawapatie kura siku za uchaguzi,
hamtaweza kuwabeza na kuwadharau kwa kuwaita kama mnavyo waita halafu eti wawachague ninyi...
thubutu....
hiyo itawezekana labda kwa mabwenyenye sio Tz...
Tulia Akson mbunge au?Tulia kwanza
Wauza madafu, ha ha ha ha ha hahaHatudanganyiki ! anayewaalika ikulu kila kukicha ni nani ?
Nakuonya kwa mara ya mwisho achana na mimi vinginevyo utapata matokeo mabaya snTulia Akson mbunge au?
Wauza madafu, ha ha ha ha ha haha
Hao wanauza kwenye matenga mapya ya samaki wanauziaga wapi?
NakaziaSasa wale wahuni anaowaalika kila mara Ikulu ni wa kazi gani ?
Asitudanganye , Tumestuka !