Muhumba wa Mukinyaa
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 683
- 1,251
Akataze sasa na Mawaziri wake wanaopenda kumsifia kuliko,. wakiongozwa na Jenister Mhagama...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amechelewa na script zao za maigizo.Sasa wale wahuni anaowaalika kila mara Ikulu ni wa kazi gani ?
Asitudanganye , Tumestuka !
Hapo sawa kazi iendelee!!Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
Dear Depal umeona machawa wanavyokanwa mmoja wao ni ChoiceVariableRais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
Awakane kwa vitendo sio kwa manenoRais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
Maza,bila hao na kubandika mabango yenye picha zake hakuna anaemjuaSteve Nyerere na Lucas Mwashambwa aibu yenu maza kasanda wajinga nyie
Kweli aseeMaza,bila hao na kubandika mabango yenye picha zake hakuna anaemjua
ntababaika au kuzubaa na wew kwa lipi ambalo ni so special...Nakuonya kwa mara ya mwisho achana na mimi vinginevyo utapata matokeo mabaya sn
Matokeo mabaya utakayoyapata usilalamikentababaika au kuzubaa na wew kwa lipi ambalo ni so special...
intimidations with no isues are useles karne ya 21......
Wapi chawa wa mama,wapi Samia Queens,wapi Lucas mwashambwa...........Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
Ben,Matokeo mabaya utakayoyapata usilalamike
Nakupa pole mkuu usilalamike kwa matokeo mabayaBen,
huwez fanya lolote na wala na wala mie siwezi sio wa kulalamika....
wa kulalamika ni wew na hao jamaa zako wengine bana...
na huwezi kuwaita waTanzania majina ya ajabu ajabu na halafu wananchi wakakuacha hivi hivi tu, utashughulika wewe pamoja na wenziwe wenye tabia kama hizo kwenye debe mpaka muache.....
Ni yeye mwenyewe aliyesema "mkimsema yeye anao chawa wake ambao hawatakubali".Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
Unamanisha Lucas mwashambwa ni mpumbavu??Ameshajifunza
Chawa ni wapuuzi sana
Huenda kesha wapa chao na kuwatupa!Steve Nyerere na Lucas Mwashambwa aibu yenu maza kasanda wajinga nyie
matokeo mabaya kivip akati Ihefu kala 5-0 dhidi ya Yanga africa juzi...Nakupa pole mkuu usilalamike kwa matokeo mabaya