Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hatutakubali tupigwe fix kibwegeMambo ya Nyakati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatutakubali tupigwe fix kibwegeMambo ya Nyakati
KishachelewaAmeanza kushituka kuelekea uchaguzi mkuu watu wanaishi kwenye umasikini wa kutupwa lakini chawa wananenepa
Anayewaamini wanasiasa anyooshe mkono juuRais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
NEC ipo itamsaidiaKishachelewa
Viongozi wa Ccm wanastuka kwa Umaskini wa Watanzania hii itakuwa ajabu kubwa kutokeaAmeanza kushituka kuelekea uchaguzi mkuu watu wanaishi kwenye umasikini wa kutupwa lakini chawa wananenepa
Ngoja tuoneViongozi wa Ccm wanastuka kwa Umaskini wa Watanzania hii itakuwa ajabu kubwa kutokea
Ccm wanajua kucheza na akili za Watanzania hasa uchaguzi ukiwa karibuNgoja tuone
Mwashamba!Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
Watanzania wengi ni wajinga snCcm wanajua kucheza na akili za Watanzania hasa uchaguzi ukiwa karibu
uskue na wasiwasi mh.Rais, comrade Dr SSH,Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
acha upotoshaji wa dharau namna hiyo 🐒Watanzania wengi ni wajinga sn
hilo ni kweli kabisaa,Uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa wa tofauti sana
si kweli,NEC ipo itamsaidia
Ni wale vichaa kama wewesi kweli,
ni wanainchi na waTanzania wote watamsaidia bila mbambamba 🐒
Mtu kama wewe una akili sasa?acha upotoshaji wa dharau namna hiyo 🐒