Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Mfyuuu 🤣🤣🤣🤣no, hapana
mie huwa sichekagi sana but long smile with love on it.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfyuuu 🤣🤣🤣🤣no, hapana
mie huwa sichekagi sana but long smile with love on it.......
Isije kuwa Hana makundi ila ana kundi ...Sasa wale wahuni anaowaalika kila mara Ikulu ni wa kazi gani ?
Asitudanganye , Tumestuka !
Swali zuri sanaMbona yeye anapenda makundi?
kabisaIsije kuwa Hana makundi ila ana kundi ...
😀 apa sasa labda ndio nimecheka...Bado hujasema 😂😂😂🤣
Ile minyuzi yako ya mapambio yalikuwa yanamsifia nani??
Mtumishi na kwaresima hii unaongea uongo 😜
mfyuuufyuu sioMfyuuu 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 Ila mtumishi mkavu wewe!!😀 apa sasa labda ndio nimecheka...
mapambio?
mapambio gani tena mimi niliimba wap mtumishi....
kwaeresma tutang"ang"ana nayo kwa makini sana na kwa Neema na baraka za Mungu ndio tumalize tukiwa wamoja kana tulivyo anza...
nawatakia kila lililo jema na hata ndugu zetu amabao wameanza lifunga jana....
kwani mtumish ulitamani niwe na unyevu unyevu au nimelowana...😂😂😂 Ila mtumishi mkavu wewe!!
Wewe na mwenzio Luka si ndio kila kukicha mnamsifia mama kizimkazi humu??
Basi nimekuelewa mtumishi 😂😂😂😂kwani mtumish ulitamani niwe na unyevu unyevu au nimelowana...
"wenxangu"hiyo si kweli, nakataa...
hakuna mtanzania mjinga tena Tanzania, elimu ni bure lakin ni bora pia, inatolewa maeneo yote nchini....
dosari na kasoro kwenye uchaguzi ni jambo la kawaida sana duniani kote wanakofanya uchaguzi...
Tanzania itaendele kuendesha uchaguzi huru, wazi na wa haki kupitia tume huru ya uchaguzi, licha ya wanaoshindwa uchaguzi kulalamikia rafu na wizi bila uthibitisho...
Nitoe rai kwa waTanzania wenxangu kujitokeza kwa wingi sana na kushiriki vema kampeni na hatimae uchaguzi ambao unategemwe kuwa bora zaid ya chaguzi zote zilizowahi fanyika Tanzania...
sawa , shukrani sana..."wenxangu"
Kwa uandishi huu[emoji3516][emoji3516] bado unasafari ndefu
Mama kazingua wap tena mtumish....Basi nimekuelewa mtumishi 😂😂😂😂
Mama kazingua pole
Hivi wakuu wa mikoa wana kazi gani?Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
Msimwamini Kizimkazi!Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
QEENS OF SAMIARais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
Ni kweli KabisaMtu mwenye akili timamu ukimsifia anafurahi,lakini ukimsifia sana sana hadi ukavuka mipaka anakereka.