Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Watakuwa wamelazwaHuenda kesha wapa chao na kuwatupa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuwa wamelazwaHuenda kesha wapa chao na kuwatupa!
Hahahahaha haya mkuu utaonamatokeo mabaya kivip akati Ihefu kala 5-0 dhidi ya Yanga africa juzi...
CARLO MWILAPWA naye siyo kundi lake?Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam.
nasibiri kwa makini sanaHahahahaha haya mkuu utaona
Asante kwa kuelewa mkuunasibiri kwa makini sana
Kabisa wanajua sisi ni wajinga, km wao wanajiamini waweke uchaguzi wa huru na haki aone wananchi tutakavyomshangazaCcm wanajua kucheza na akili za Watanzania hasa uchaguzi ukiwa karibu
Mama kasema hawatambui mtumishi 🤣🤣🤣si kweli,
ni wanainchi na waTanzania wote watamsaidia bila mbambamba 🐒
hamtambui nani...Mama kasema hawatambui mtumishi 🤣🤣🤣
Nyie machawa mnaomsifia 🤣🤣🤣🤣hamtambui nani...
hiyo si kweli, nakataa...Kabisa wanajua sisi ni wajinga, km wao wanajiamini waweke uchaguzi wa huru na haki aone wananchi tutakavyomshangaza
Africa hakuna haki,Haki huku ina nunuliwa kwa pesa.Kabisa wanajua sisi ni wajinga, km wao wanajiamini waweke uchaguzi wa huru na haki aone wananchi tutakavyomshangaza
nyie ndio nan mtumishi LamomyNyie machawa mnaomsifia 🤣🤣🤣🤣
Mwambie na kaka Luka
Anazuga,manake mratibu wa samia queens ni katibu mkuu wa umoja wa wanawake wa ccm,joketi👌ambaye nafasi hiyo alimpatia yeye,ili aoganaizi wasanii wakike kumpigia kampeni.kwahiyo anataka kutuambia hata samia queens walijipendekza tuu??
Mshaanza kukataa 🤣🤣🤣🤣nyie ndio nan mtumishi Lamomy
mim ni Tlaatlaa bana na daima nitakua hivyo na si vinginevyo katika kuwatumikia wanainch na waTanzania wote kwa haki na usawa mahali popote ninapopata fursa ya kufanya hivyo....
hayo mengine ni maoni na mitazamo ya watu, ambayo kwakweli mimi sihusiki kabisa....
Najua unakoment huku unacheka hiki ulichokiandika 😂😂😂😂hiyo si kweli, nakataa...
hakuna mtanzania mjinga tena Tanzania, elimu ni bure lakin ni bora pia, inatolewa maeneo yote nchini....
dosari na kasoro kwenye uchaguzi ni jambo la kawaida sana duniani kote wanakofanya uchaguzi...
Tanzania itaendele kuendesha uchaguzi huru, wazi na wa haki kupitia tume huru ya uchaguzi, licha ya wanaoshindwa uchaguzi kulalamikia rafu na wizi bila uthibitisho...
Nitoe rai kwa waTanzania wenxangu kujitokeza kwa wingi sana na kushiriki vema kampeni na hatimae uchaguzi ambao unategemwe kuwa bora zaid ya chaguzi zote zilizowahi fanyika Tanzania...
no no no.....Mshaanza kukataa 🤣🤣🤣🤣
no, hapanaNajua unakoment huku unacheka hiki ulichokiandika 😂😂😂😂
Bado hujasema 😂😂😂🤣no no no.....
don"t include me with others missions....
I am as me,
with my own target, missions, objectives and goals politically speaking...
hiyo ingine uliza wenyewe bana....