Huyu ni ndumilakuwili,mbona aku step down
Tuseme tu ukweli umejaribu kwenda kwenye taasisi za serikali ukaona huduma zao zikoje ukifananisha na simba wa chato huduma ilikuaje.
Ameshasema alikuwa hajui wakati ule na sasa ndiyo kagundua kwamba heshima ilikuwa ya kiuoga. Sasa angekuaje bila kuona
Ni bora anaeema ukweli badala ya wengine hapa ambao mnapenda uongo kabla ya 2025 atasema ukweli kwamba chaguzi ilikuwa na wizi mwingi maana ndiyo ukweli huo. Ili akishinda kwa 60% watu wajue kwamba 2020 uchaguzi ulikuwa fake