Rais Samia: Awamu ya 5 heshima iliyokuzwa ni ya uoga kwa sababu kulikuwa na Simba wa Yuda, ukimgusa sharubu anakurarua, hatukukua kivile

Huyu ni ndumilakuwili,mbona aku step down

Tuseme tu ukweli umejaribu kwenda kwenye taasisi za serikali ukaona huduma zao zikoje ukifananisha na simba wa chato huduma ilikuaje.

Ameshasema alikuwa hajui wakati ule na sasa ndiyo kagundua kwamba heshima ilikuwa ya kiuoga. Sasa angekuaje bila kuona

Ni bora anaeema ukweli badala ya wengine hapa ambao mnapenda uongo kabla ya 2025 atasema ukweli kwamba chaguzi ilikuwa na wizi mwingi maana ndiyo ukweli huo. Ili akishinda kwa 60% watu wajue kwamba 2020 uchaguzi ulikuwa fake
 
Mama amenena fact. # Kazi iendelee
 
Huyu mama anataka uwachekee watumishi wa umma.

Heshima ya moyoni hiyo haipewe serikalini, hiyo inatolewa nyumbani.

Huyu mama ni kimeo.
Ukisoma na kusikia hizi dots kwa kweli inatia mashaka sana kuhusu mwendazake
 
Tunaomba na wewe utupe Upande wa pili wa SAMIA
... uko sahihi. Kuna wajinga wanalazimisha bango aliloacha Magufuli lisomwe upande mmoja tu; hawataki kabisa upande wa pili wa bango lake uonekane. That's very wrong!
 
Hongera sana kwa comment yenye uweledi.
 
Yesu mwenyewe alitembeza fimbo kwa waliokuwa wanaofanya biashara katika nyumba ya Mungu.Sembuse Magufuli, nendeni Korea mkajifunze walifikaje pale walipo Leo.Hakuna maendeleo bila kufunga mikanda na kuhimiza nidhamu kibabe.RIP papa
 
Tunaomba na wewe utupe Upande wa pili wa SAMIA
... Samia bado anaendelea kutengeneza bango lake; halijakamilika bado. Siku zaja litapaswa kuwekwa hadharani. Muhimu kwake ajitengenezee bango lililo bora.
 
Asante sana, ukimalizana ma marehemu utaanza na wajinga wenzio na hilo lichama la Ndiyoo
 
Kama hao watu hawana hiyo heshima huko moyoni unafanyaje.?
 
Hakika Jiwe alikuwa anaitawala Tanzania kwa mkono wa chuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…