Huyo magufuli aliwaambia yeye ni mungu? Mbona yeye aliwasema sana wenzie tena kwa maneno ya hovyo mbona hamkusema ajiuzulu acheni ubifsi wa kunya anye kuku akinya bata kaharishaSuala la kumfananisha mwendazake na Simba ya Yuda kwa kweli lina ukakasi
Huo mpasuko uliotokea kwenye jamii uko wapi?Au umetokea moyoni mwako?Acha kukuza mambo!Hakutajwa mtu.Piga kazi.Unajilazimishia kupata magonjwa ya moyo bure!Inasikitisha sana kuona kiongozi wa serikali anatamka maneno yenye kuleta mgawanyiko na mpasuko miongoni mwa watanzania. Mbaya zaidi kiongozi huyo huyo anasahau kwamba yeye ana madhaifu makubwa zaidi yanayotosha kabisa kumfanya akae pembeni akiwa muungwana...
AnatapatapaHuo mpasuko uliotokea kwenye jamii uko wapi?Au umetokea moyoni mwako?Acha kukuza mambo!Hakutajwa mtu.Piga kazi.Unajilazimishia kupata magonjwa ya moyo bure!
Hatutaki kuendesha misiba kirejareja ni gharama.Awe na utulivu na kuenenda na hali.Anatapatapa
Umenielewa lakini mkuu au umekurupuka tu na makasiriko kwa Magufuli?Acha upotoshaji wa kijinga, hakuna popote watu wanakatazwa kufanya starehe hapa duniani, bali watu wanakatazwa kutenda dhambi, na kufanya starehe sio dhambi.
Unakuta kipindi cha Magu watu walikuwa wanatumia madaraka yao kukomoa watu na mifano ipo wazi, kuna watu waliagizwa wakapore pesa za watu kwenye mabureau De change, watu waliagizwa kupora fedha za watu kwenye mabenki, wakurugenzi walikuwa wanaagizwa kupindisha sheria za uchaguzi, mahakamani watu walifungwa ili kumfurahisha Magufuli. Je utii wa kufanya uhalifu ndio utii sahihi? Tulisikia maneno kuwa watu wa mwanza wasivunjiwe nyumba maana ndio waliompa kura, ila sehemu nyingine wavunjiwe. Je wale waliotii kuvunja nyumba za watu kinyume na amri ya mahakama walikuwa na utii sahihi?
Kila jambo na wakati wake wasubiri atapita piaHatutaki kuendesha misiba kirejareja ni gharama.Awe na utulivu na kuenenda na hali.
Magufuli wala hakuwa mtu wa maana kwakweliWanamtukana marehemu wao wamepewa uzima wa milele
S
Vyote ulivyosema sio ukweli. Kwani sukari imepanda kipindi Cha Nani?.
Halafu kuhusu ajali mbona zilikiwepo nyingi?. Umesahau ajali ya meli ya ukerewe, ajali ya city boys , ajali ya morogoro waliokufa watu 100.
Kwangu Mimi Magufuli alikuwa mpenda sifa na Wala hakufanya Mambo kwa upendo .
Tatizo vichwa vyao havitunzi kumbukumbu.Hivi kuna mtu aliyekuwa fundi kutukana na kutoa kauli tata na zenye kuchukiza kama bwana yule?Kila jambo na wakati wake wasubiri atapita pia
Tofauiti na baba na mama hakuna mtu mwibgine hapa tz anaweza heshiniwa toka moyoniHebu mtumishi wa umma ajiachie aone moto!!
Rais hajasema wasiwe na nidhamu, amekazia wawe na nidhamu tena ile ya moyoni ndio chanya zaidi.Nidhamu ya woga mbaya naweza kufanya kwa savabu uko mbele yangu, ukinipa kisogo napuyanga.
Mama yetu mhe Rais kazi iendelee.
Tupe mifanoTatizo vichwa vyao havitunzi kumbukumbu.Hivi kuna mtu aliyekuwa fundi kutukana na kutoa kauli tata na zenye kuchukiza kama bwana yule?
2030 sio mbali subiri tu ataondokaInasikitisha sana kuona kiongozi wa serikali anatamka maneno yenye kuleta mgawanyiko na mpasuko miongoni mwa watanzania. Mbaya zaidi kiongozi huyo huyo anasahau kwamba yeye ana madhaifu makubwa zaidi yanayotosha kabisa kumfanya akae pembeni akiwa muungwana.
Tazama hali ya upatikanaji umeme nchini, Tazama bei ya bidhaa mbalimbali, Tazama nidhamu katika utumishi wa umma,rushwa ufisadi n.k
Pamoja na yote hayo badala kiongozi mkuu awe mtetezi wa wananchi yeye amekuwa mtetezi wa kiti chake pamoja na wale aliowachagua Kula pamoja katika meza yenye urefu size ya kamba tofauti.
Waungwana husema Mtu mzima ukivuliwa nguo, Chutama.
Umenielewa lakini mkuu au umekurupuka tu na makasiriko kwa Magufuli?
Nimesema huwezi kufanya starehe utakavyo kwa maana starehe nyingi zipo kwenye matendo ya dhambi, lakini hapa duniani hatujaja kufanya starehe hivyo kama utaishi maisha ya kuendekeza starehe sana kuliko ibada basi moto unaweza ukakuhusu.
Jaribu kuzuia hasira zako kwa simba wa yuda maana hazina msaada wowote mtu mwenyewe ameshakufa wewe unabaki kukosa amani ya moyo kila anapotajwa huyo Magufuli.
Meza panadol mkuu hii nchi ni mali ya wana siasaInasikitisha sana kuona kiongozi wa serikali anatamka maneno yenye kuleta mgawanyiko na mpasuko miongoni mwa watanzania. Mbaya zaidi kiongozi huyo huyo anasahau kwamba yeye ana madhaifu makubwa zaidi yanayotosha kabisa kumfanya akae pembeni akiwa muungwana.
Tazama hali ya upatikanaji umeme nchini, Tazama bei ya bidhaa mbalimbali, Tazama nidhamu katika utumishi wa umma,rushwa ufisadi n.k
Pamoja na yote hayo badala kiongozi mkuu awe mtetezi wa wananchi yeye amekuwa mtetezi wa kiti chake pamoja na wale aliowachagua Kula pamoja katika meza yenye urefu size ya kamba tofauti.
Waungwana husema Mtu mzima ukivuliwa nguo, Chutama.
Okay.Na uyamung'unye kwa utulivu.Tupe mifano
Inasikitisha sana kuona kiongozi wa serikali anatamka maneno yenye kuleta mgawanyiko na mpasuko miongoni mwa watanzania. Mbaya zaidi kiongozi huyo huyo anasahau kwamba yeye ana madhaifu makubwa zaidi yanayotosha kabisa kumfanya akae pembeni akiwa muungwana.
Tazama hali ya upatikanaji umeme nchini, Tazama bei ya bidhaa mbalimbali, Tazama nidhamu katika utumishi wa umma,rushwa ufisadi n.k
Pamoja na yote hayo badala kiongozi mkuu awe mtetezi wa wananchi yeye amekuwa mtetezi wa kiti chake pamoja na wale aliowachagua Kula pamoja katika meza yenye urefu size ya kamba tofauti.
Waungwana husema Mtu mzima ukivuliwa nguo, Chutama.