Rais Samia: Awamu ya 5 heshima iliyokuzwa ni ya uoga kwa sababu kulikuwa na Simba wa Yuda, ukimgusa sharubu anakurarua, hatukukua kivile

Hakuna mtanzania anampenda yule mtu katili
Mkuu mbona unaonokana una chuki kuu na bwana yule?
Ama wewe ni moja kati ya waliotumbuliwa na vyeti feki?
Unapata wapi ujasiri wa kuwazungumzia watanzania wote kwamba atumpendi rais wetu mpendwa?
Kama wewe unamchukia ni sawa ila mimi sina chuki wala makasiriko nae hata kidogo.
Kuwa na aman ameshafariki ni mwaka sasa.
Mwache apumzike kwa amani.
 
Mama akituambia yeye na mwendazake ni jora moja, sasa leo mbona kunatokea haya? au Ni kinyume chake???
 
Nafikiri kinachofanyika sasa ni ku out smart uongozi uliopita. Kama magu alimfanyia kikwete ni kukandia madhaifu tuu ili wewe uonekane unabadili muelekeo
watu walijengwa kwenye nidhamu ya woga, unafiki mwingi. Wanadamu timamu hatutakiwi kuishi hivyo. Maza katoa fact sio suala la ku out smart


YESU NI MWOKOZI
 
Tusijidanganye.Watumishi si kwamba wana nidhamu ya kweli.Uoga,unafiki na kujipendekeza hasa kwa watu wa CCM ndiyo vimetamalaki.Ni kujilisha upepo tu.Binadamu anatakiwa ajengewe mazingira ya upendo,kujiamini na kuwajibika kwa haki.
 
watu walijengwa kwenye nidhamu ya woga, unafiki mwingi. Wanadamu timamu hatutakiwi kuishi hivyo. Maza katoa fact sio suala la ku out smart


YESU NI MWOKOZI
Kama ilikuwa inaketa tija safi sana!
.
Sasa yeye ajenge huo mfumo sasa anaotaka wa kutoka moyoni, aujenge ili mambo yaende hicho ndio watu wanataka

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Tulihangaika sana enzi za lile jiwe lililoanguka. Yaani hakuna mtu mwenye maono alipaza sauti wote tulikaa kimya tukijiongelesha moyoni huku tukiona vituko na tunavisifia ili tuonekane ni wenzao. Kwa kweli kuna zama za unafki
 
Sasa kuogopa kufukuzwa kazi sindio nidhamu inayohitajika. Kama huna hofu ya kupoteza kitu ambacho ni cha maana kwako utakuwaje makini?
Sio nidhamu ni woga, hivyo mtu anafanya kitu hata ambacho kisheria hakikupaswa ili kumfurahisha Mh Rais. Hiyo hautakiwi. Nidhamu ya woga.
 
Sasa kuogopa kufukuzwa kazi sindio nidhamu inayohitajika. Kama huna hofu ya kupoteza kitu ambacho ni cha maana kwako utakuwaje makini?
Muheshimiwa,kufukuzwa kazi ni sehemu ndogo sana katika utumishi iwezayo kumtokea mfanyakazi.Hatupaswi kuwajenga watumishi kwa fikra za kufukuzwafukuzwa.Bali,wajengewe matumaini ya kudumu,kustawi na kuufurahia utumishi.Kufukuzwa iwe ni kama ajali tu.
 
Nilichojifunza kutokana na kifo cha hayati Magufuli ni kuwa mtu wako karibu kabisa akikosa matarajio yoyote toka kwako ndio ataonyesha rangi zake zote either ni nzuri au baya. Hapa amesahau na yeye ni time will tell kwa upande wake. R. I. P our Icon, the late President John Joseph Pombe Magufuli.
 
Awamu ya tano waliteseka watu wengi sana🤣🤣
 
Muheshimiwa,kufukuzwa kazi ni sehemu ndogo sana katika utumishi iwezayo kumtokea mfanyakazi.Hatupaswi kuwajenga watumishi kwa fikra za kufukuzwafukuzwa.Bali,wajengewe matumaini ya kudumu,kustawi na kuufurahia utumishi.Kufukuzwa iwe ni kama ajali tu.
Sasa kama mtu hapewi discpline atajifunzaje? Kwahio mule rushwa mdharau wateja hio kwenu ndio upendo au sio yani mjifanyie mnavyotaka mkiwa kazini muda wa kazi mpige soga wateja kitu cha kukamilika siku moja kichukue week sababu boss ana mambo yake hayupo ofisini mda wa kazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…