Ndugu,
1. Waliokufa huwa wamekufa na kuzikwa chini ya ardhi na kugeuka udongo/mavumbi.
Hawaendi huko kupumzika !!
2. Kinachojadiliwa hapa ni matokeo au alama (footprints) alizoziacha mtu aliyekwisha kufa. Kwa hapa ni kesi ya Magufuli
Kwa hiyo hata ulie na kumwaga ndoo nzima ya machozi ili Magufuli aachwe kwa kile unachoita "kupumzika", hiyo haiwezi kufuta footprints zake mbaya au nzuri
KUKUSAIDIA WEWE, FANYA HIVI;
✓Ukiona mtu wako aliyekwisha kufa anasemwa kwa mabaya, na ikakuuma; basi wewe mseme kwa mazuri yake.
✓Mizani ikiegemea upande wa mazuri, utashinda na utakuwa na furaha.
✓Lakini ukishindwa kuii namisha mizani upande wako, basi jua kuwa umeshindwa wewe na mtu wako.
✓ All you have to do is to accept and take responsibilities!!