Rais Samia: Awamu ya 5 heshima iliyokuzwa ni ya uoga kwa sababu kulikuwa na Simba wa Yuda, ukimgusa sharubu anakurarua, hatukukua kivile

Rais Samia: Awamu ya 5 heshima iliyokuzwa ni ya uoga kwa sababu kulikuwa na Simba wa Yuda, ukimgusa sharubu anakurarua, hatukukua kivile

Serekali yote sasa hivi iko mitandaoni, maamuzi yake yanategemea pressure ya mitandaoni. Kelele za uchaguzi ule ndio hizi zinafanya viongozi waliopewa nafasi kwa uchaguzi haramu wanaogopa hata kuitisha mikutano, na wanaofanikiwa wanatumia nguvu kubwa, fedha nyingi nk. Sikuona nidhamu kipindi cha dhalimu, bali niliona sifa za kijinga, kusaka kiki na propaganda mfu. Yote haya tunayaona kwa macho yetu. Usidhani kila mtu alitekwa na zile taarifa na sifa za kupika.
Sahihi
 
Hapa point ni kuwa jiwe alikuwa anatumia mabavu tu
Mabavu au siyo mabavu,my brother just do your job kwa kuzingatia maadili,kuanzia Jumatatu nawatembelea huko kwa office zenu,Kama na waona na visuti vyenu vya kubana Kama vya Konda Boy!![emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1]

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
aliwaharibia mafisadi

Kwani yeye aliwahi kuwabana mafisadi au alikuwa anawakomoa matajiri aliokuwa ni visa nao? Hakuwahi kupambana na ufisadi bali matumizi ya neno fisadi. Huwezi kupambana na ufisadi kisha ukawa adui wa vyombo vya habari. Kupora fedha kwenye bureau de change ndio kupambana na mafisadi?
 
Kwani yeye aliwahi kuwabana mafisadi au alikuwa anawakomoa matajiri aliokuwa ni visa nao? Hakuwahi kupambana na ufisadi bali matumizi ya neno fisadi. Huwezi kupambana na ufisadi kisha ukawa adui wa vyombo vya habari. Kupora fedha kwenye bureau de change ndio kupambana na mafisadi?
alikomoa matajiri mafisadi usijitoe ufahamu
 
Kulikuwa na nidhamu ya kazi au nidhamu ya kukomoa watu? Au zile propaganda za kuwa hali imebadilika? Kama hali ilikuwa nzuri asingekuwa adui wa vyombo vya habari, yeye kutaka habari anazozipenda tu ndio ziandikwe tungeajua vipi kweli nidhamu au utendaji umeongezeka?

Kuingia mtaani hakuji ghafla, ni jambo linalochukua muda mrefu baada ya ushahidi wa haya tunayoyaandika huku mitandaoni. Yeye alifanya aliyoyafanya kutokana na nafasi yake, lakini hii mitandao ilikuwa haimpi raha hadi kufikia kutaka malaika washuke waifunge. Hukumbuki ni wati wangapi walitekwa, ama kufungwa kutokana na kumkosoa kupitia mitandao? Kama mitandao ilikuwa haimtesi asingefuatilia. Na kwa taarifa yako kwa dunia hii ya kidigitali, mitandao ni sehemu moja wapo ya pressure ya kupata jambo, labda kama ww ni mzee, hivyo njia ujuayo ya pressure kwa watawala ni kuingia mtaani tu.
Hivi kuwataka na hata kuwaapisha watendaji wako wakatimize majukumu yao kwa kuzingatia sheria,taratibu na miiko ya kazi zao ni kuwakomoa!?seriously!
ulitaka atumie njia zile alizotumia mtangulizi wake ambazo tuliona madhara yake na ndizo anazozipigia chapuo huyu bibi na nyinyi mkimshangilia?
Hakuna mabadiliko utayapata hata ktk ngazi ya familia tu kupitia falsafa na mifumo ileile tena iliyoonyesha udhaifu bro,tusidanganyane.
Inashangaza kuona unatetea vyombo vya habari utafikiri vinaendeshwa na malaika.tumeshuhudia vyombo hivi hivi vikitumika kutoa taarifa za uongo aidha kupitia rushwa au vita vya kisiasa.isitoshe magazeti mengi tu yaliwahi kufungiwa awamu ya 4,ndiomana sheria zikatungwa kwani wavunjaji sheria hawakosekani. Uhuru wa manyani huwezi kuupata kwenye Taifa lolote lililostaarabika.
USA na mataifa mengi tu tulishuhudia yakipitisha sheria kali na hata kufungia baadhi ya mitandao.
mihemuko na vita vya kisiasa ndio vinawafanya mjaribu kuwaaminisha wengine kuwa JPM aliwachukia wapinzani, watendaji wake, wafanyabiashara, matajiri n.k bila kusema ukweli kuwa falsafa na dhamira yake ya kutaka mabadiliko ya kweli ndio iliyodhalisha upinzani wote huu.
 
Niambie ni ninchi hipi iliyeweza kuendelea bila kutumia hofu na woga?hao wazungu mnaowamba misaada ukigundulika unakwepa kulipa Kodi tu unafungwa na kufirisiwa,ukikumbwa na ufisadi ndio baraa hata haufahi kuwa mtumishi wa umma,ngoja tuone Samia anayetaka nidhamu ya rohoni utafikiri anaongoza kanisa,mda utaongea tu.

N
Itoshe tu kusema huyu bibi hatoshi, Mungu mwenye uwezo wa kila kitu aliitambua hulka ya binadamu na ndiomana akaweka adhabu kwa waovu.Isingelikuwa hofu ya jehanam unafikiri kuna binadamu angelitaka hata kujua Mungu ni nani,kwa ajili ya nini!
Mimi naisubili hiyo falsafa yake atakayotumia kurudisha nidhamu kwa watumishi kwa utashi wa mioyo yao.
 
Hivi kuwataka na hata kuwaapisha watendaji wako wakatimize majukumu yao kwa kuzingatia sheria,taratibu na miiko ya kazi zao ni kuwakomoa!?seriously!
ulitaka atumie njia zile alizotumia mtangulizi wake ambazo tuliona madhara yake na ndizo anazozipigia chapuo huyu bibi na nyinyi mkimshangilia?
Hakuna mabadiliko utayapata hata ktk ngazi ya familia tu kupitia falsafa na mifumo ileile tena iliyoonyesha udhaifu bro,tusidanganyane.
Inashangaza kuona unatetea vyombo vya habari utafikiri vinaendeshwa na malaika.tumeshuhudia vyombo hivi hivi vikitumika kutoa taarifa za uongo aidha kupitia rushwa au vita vya kisiasa.isitoshe magazeti mengi tu yaliwahi kufungiwa awamu ya 4,ndiomana sheria zikatungwa kwani wavunjaji sheria hawakosekani. Uhuru wa manyani huwezi kuupata kwenye Taifa lolote lililostaarabika.
USA na mataifa mengi tu tulishuhudia yakipitisha sheria kali na hata kufungia baadhi ya mitandao.
mihemuko na vita vya kisiasa ndio vinawafanya mjaribu kuwaaminisha wengine kuwa JPM aliwachukia wapinzani, watendaji wake, wafanyabiashara, matajiri n.k bila kusema ukweli kuwa falsafa na dhamira yake ya kutaka mabadiliko ya kweli ndio iliyodhalisha upinzani wote huu.

Kuagiza wakurugenzi wakanajisi uchaguzi ndio utawala madhubuti? Kumiliki kundi la watu wasiojulikana ndio utawala madhubuti? Mabadiliko ya kweli ni ya mifumo, na sio kulizimisha watu wote kuisujudia ccm na kumsujudia yeye. Au unadhani hatujui kiongozi bora ana sifa zipi? Yule hakupaswa kuwa rais, maana hakuwa na busara anayopaswa kuwa nayo raisi.
 
Kuagiza wakurugenzi wakanajisi uchaguzi ndio utawala madhubuti? Kumiliki kundi la watu wasiojulikana ndio utawala madhubuti? Mabadiliko ya kweli ni ya mifumo, na sio kulizimisha watu wote kuisujudia ccm na kumsujudia yeye. Au unadhani hatujui kiongozi bora ana sifa zipi? Yule hakupaswa kuwa rais, maana hakuwa na busara anayopaswa kuwa nayo raisi.




Hebu tuambie katika nchi kama hii yenye watu wa hulka hizi za kibongo,mfumo unaujenga kwa namna ipi iliyo bora?..tuelezee kwa kina tafadhari!!
 
Hebu tuambie katika nchi kama hii yenye watu wa hulka hizi za kibongo,mfumo unaujenga kwa namna ipi iliyo bora?..tuelezee kwa kina tafadhari!!

Kwanza kabisa maamuzi ya moja kwa moja yatoke kwa wanasiasa. Huu mchezo wa maamuzi kufanywa na wanasiasa ndio kunazaliwa utendaji usio na tija. Kazi za kupeana kwa kujuana. Rais apunguziwe madaraka hasa kwenye teuzi za wakuu wa taasisi za kimamlaka. Check and balance ya Mihimili iwe ya kweli. Sio sasa rais ndio kila kitu.
 
'Wewe Mkurugenzi nikulipe mshahara, marupurupu, gari na nyumba halafu umtangaze mpinzani'? Imagine kauli kama hiyo kutoka kwa Rais wa nchi kwenda kwa kamtu kadogo kama kamkurugenzi wa halmashauri! Aiseee?
Imagine! Yaani sijui tulikuwa tunaelekea wapi aisee!
Ushamba na ulimbukeni wa madaraka plus utoto! Mtu mzima alikuwa hajitambui.
 
Unakumbuka alichokisema JPM akiwashutumu jeshi la polisi siku ambayo Mo aliachiwa na watekaji?

Alikuwa anajua kila kitu, alichokisema pale alikuwa anahadaa umma tu. Hakuna watekaji wowote zaidi ya lile kundi lake la watu wasiojulikana. Katafute walioko usingizini boss.
 
Kwanza kabisa maamuzi ya moja kwa moja yatoke kwa wanasiasa. Huu mchezo wa maamuzi kufanywa na wanasiasa ndio kunazaliwa utendaji usio na tija. Kazi za kupeana kwa kujuana. Rais apunguziwe madaraka hasa kwenye teuzi za wakuu wa taasisi za kimamlaka. Check and balance ya Mihimili iwe ya kweli. Sio sasa rais ndio kila kitu.


Kwahiyo yakifanyika hayo uliyoyataja hapo juu,tayari tutakuwa na mfumo imara?
 
Kuagiza wakurugenzi wakanajisi uchaguzi ndio utawala madhubuti? Kumiliki kundi la watu wasiojulikana ndio utawala madhubuti? Mabadiliko ya kweli ni ya mifumo, na sio kulizimisha watu wote kuisujudia ccm na kumsujudia yeye. Au unadhani hatujui kiongozi bora ana sifa zipi? Yule hakupaswa kuwa rais, maana hakuwa na busara anayopaswa kuwa nayo raisi.
Labda wewe utuambie hapa kuwa kamanaliwatumanwakurugenzi wakaibe kura au wakasimamie utekelezaji wa miradi kwa mujibu wa ilani ili wapate ridhaa ya kuongoza kutoka wananchi!
Unaweza kunitajia list ya hao members wa wasiojulikana na malengo yao?
Hata mifumo madhubuti haiwezi kufanya kazi au kutoa matokeo bila kubadili kwanza mindset za watu,tambua hilo bro.
Kiongozi bora ana sifa zipi?kama sio zote basi nyingi alifanikiwa kuwa nazo JPM ndiomana toka akiwa waziri kwenye wizara mbalimbali aliweza kufanikiwa kwa kiwango kikubwa pengine kuliko mawaziri wengine wote ktk baraza.
 
Back
Top Bottom