Rais Samia: Awamu ya 5 heshima iliyokuzwa ni ya uoga kwa sababu kulikuwa na Simba wa Yuda, ukimgusa sharubu anakurarua, hatukukua kivile

Rais Samia: Awamu ya 5 heshima iliyokuzwa ni ya uoga kwa sababu kulikuwa na Simba wa Yuda, ukimgusa sharubu anakurarua, hatukukua kivile

Samia anapitia na kisha anakuja kuwajibu nyodo na yale mnayomkosoa yanabaki vilevile habadili chochote, sasa hapo utasema kuna pressure?

Magufuli aliona hamfanyi kazi kutwa kubwabwaja tu mitandaoni ndio maana akatamani ifungwe, mlipiga sana kelele kuhusu Makonda hadi mkachoka ila Jiwe hamkumpa pressure yeyote hadi mwenyewe huko alipomchoka kipindi nyie mshanyoosha mikono.

Huo ndio ukweli.
Ujanja sio kufunga mitandao bali ni kuongeza kodi na tozo ili kila usemalo ni lazima ulilipie kodi/tozo. Huu ndio ujanja wa Rais wetu Mama Samia.

Maana kama unashinda mitandaoni na una pesa ya kula, maana yake una pesa. Hivyo ujanja si kukufungia bali kugawana hiyo pesa uliyo nayo. Na kwa kweli tunatoa mpaka kodi ya mwezi wa 3 imefikia 2.06 trillion, si haba!
 
Huyo simba alikuwa mkali sana Spika wa bunge alimkanya mkia tu akararuliwa kabla hajagusha hata hayo masharibu. Sasa hivi anaogopa hata kutoka nje.
 
Ujanja sio kufunga mitandao bali ni kuongeza kodi na tozo ili kila usemalo ni lazima ulilipie kodi/tozo. Huu ndio ujanja wa Rais wetu Mama Samia.

Maana kama unashinda mitandaoni na una pesa ya kula, maana yake una pesa. Hivyo ujanja si kukufungia bali kugawana hiyo pesa uliyo nayo. Na kwa kweli tunatoa mpaka kodi ya mwezi wa 3 imefikia 2.06 trillion, si haba!
Umenena ukweli mtupu
 
Nimepitia comments humu kujaribu kuangalia kama Kuna aliye mshauri Huyu mama afanye nini ili kuleta nidhamu kwenye utumishi wa ummma lakiki wapi!!

Magufuli sawa alitishia, Ila nidhamu tuliona,. Je, huyu mama yeye anafanya nini ili kuleta nidhamu hyo. Au yupo haunted na fact kwamba nidhamu kwa Sasa ime dwindle.

Halafu eti anataka nidhamu ya kutoka moyoni eh! Kwa wabongo aliokwisha waruhusu wale kwa urefu wa kamba zao, eh! Jamani,!!

Kwa hapa namheshim tu Kiti Cha urais.

Sema akili pia za wabongo ni mtihani kung'amua hizi twists of words.

Mimi naomba nisamehewe tu. Huyu mama najitahidi kweli kweli kumuelewa lakini wapi?! Naishia kupata 'F'

Nilifurahi alipozungumzia mabadiriko ya elimu, Ila Sasa mengine haya, napata taaabu kwelikweli.

Emwenyezi Mungu nijalie hekima.
Hivi Sabaya au Makonda aliyetumia Magari ya thamani kubwa walikuwa na nidhamu gani wakati wa Magufuli ?
 
Hivi Sabaya au Makonda aliyetumia Magari ya thamani kubwa walikuwa na nidhamu gani wakati wa Magufuli ?
Kwahio unapinganna na Rais mama yetu anaesema nidhamu ilikuwepo, Ila ilikua ya woga?!!

Hao ume single out watu watukutu, tunapo assess jambo tuna namna za kufanya sampling.

Oh!? Naomba niishie hapa huku ninakoelekea huenda nikawa napoteza muda, wabongo tulio wengi elimu zetu ni zileeee na ung'amuzi wa Mambo ni uleeee!!
 
Yapi hayo kwa mfano?
Braza, ni mengi tu nenda hatua moja mbele yako waulize watu, mimi sioni ubaya wa yule mtu tena ni mtu wa kujifunzia mimi ,watoto wangu na watu wote hapa mtaani na tuna mpango wa kujenja sanamu yake ishara ya kuheshimu mchango wa maisha yake kwetu, tunampenda sana labda kwako binafsi.
 
Braza, ni mengi tu nenda hatua moja mbele yako waulize watu, mimi sioni ubaya wa yule mtu tena ni mtu wa kujifunzia mimi ,watoto wangu na watu wote hapa mtaani na tuna mpango wa kujenja sanamu yake ishara ya kuheshimu mchango wa maisha yake kwetu, tunampenda sana labda kwako binafsi.
Pumbavu sana
 
Back
Top Bottom