Rais Samia Awapongeza Azam Fc kwa Ushindi dhidi Ya Yanga.

Rais Samia Awapongeza Azam Fc kwa Ushindi dhidi Ya Yanga.

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Screenshot_20241102-210626_1.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Sina kumbukumbu, mwenye nazo anisaidie kunikumbusha

Kwamba imeshawahi kutokea Rais wa Nchi kuzipongeza timu za Mpira wa Miguu zisizo Simba & Yanga kwenye Ligi Kuu?

Nafikiri hili ni tukio la kwanza, labda Kwa kuwa 2025 ni Uchaguzi Mkuu tunahitaji Kura zote kupitia Sekta ya Michezo

Hongereni Azam FC 👏👏

Azam FC 1 Yanga 0 FT
 
Sina kumbukumbu, mwenye nazo anisaidie kunikumbusha

Kwamba imeshawahi kutokea Rais wa Nchi kuzipongeza timu za Mpira wa Miguu zisizo Simba & Yanga kwenye Ligi Kuu?

Nafikiri hili ni tukio la kwanza, labda Kwa kuwa 2025 ni Uchaguzi Mkuu tunahitaji Kura zote kupitia Sekta ya Michezo

Hongereni Azam FC 👏👏

Azam FC 1 Yanga 0 FT
Rais wetu Mpendwa ni Mwana Michezo .Ndio Maana jumuiya ya wanamichezo wote wanamuunga mkono na kumkubali sana Rais Samia.
 
Naungana na Mama kuwopongeza Azam. Hivi Hersi akiamua kudai chake kwa ambaye hajafikisha itakuwa ni mbaya?
 
Back
Top Bottom