Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Timu alizotaja ni Azam na vyura waliobikiriwa. Simba hausiki.Mama mechi za ligi zinakuhusu nini jamani? Wewe si upo kimataifa tu hadi una goli lako huko?
Au ndio unabalance mzani kwa Makolo wanavyolia huwa unatupendelea Yanga?