Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Umejivurugu MwenyeweUsituvuruge
Umejivurugu MwenyeweUsituvuruge
Rais wetu Mpendwa ni Mwana Michezo .Ndio Maana jumuiya ya wanamichezo wote wanamuunga mkono na kumkubali sana Rais Samia.Sina kumbukumbu, mwenye nazo anisaidie kunikumbusha
Kwamba imeshawahi kutokea Rais wa Nchi kuzipongeza timu za Mpira wa Miguu zisizo Simba & Yanga kwenye Ligi Kuu?
Nafikiri hili ni tukio la kwanza, labda Kwa kuwa 2025 ni Uchaguzi Mkuu tunahitaji Kura zote kupitia Sekta ya Michezo
Hongereni Azam FC ππ
Azam FC 1 Yanga 0 FT
Vizuri, tukutane viwanjaniRais wetu Mpendwa ni Mwana Michezo .Ndio Maana jumuiya ya wanamichezo wote wanamuunga mkono na kumkubali sana Rais Samia.