Ila mama angenunua zile goli kila moja angalau 50m, si kwa raha walizotupa Young Africans SC.Rais was Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameipongeza Klabu ya Yanga kwa kufanya vizuri katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) baada ya kuifunga CR Belouizdad bao nne kwa sifuri na kufanikiwa kufuzu hatua ya Robo Fainali, akisema mafanikio hayo yameandika historia kubwa kwa klabu na sekta ya michezo Nchini
Rais Samia amenukuliwa akisema βYanga mmeleta furaha kwa mamilioni ya Mashabiki wenu na Watanzania kwa ujumlaβ
View attachment 2915864
Mama kasema Yanga imeleta Furaha kwa watanzania kwa ujmla wewe ..Na Degree yako ya SAUT unakuja unakenua eti Yanga inabebwa mara Yanga Team ya kawaida, Mara washabiki washakata TamaaRais was Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameipongeza Klabu ya Yanga kwa kufanya vizuri katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) baada ya kuifunga CR Belouizdad bao nne kwa sifuri na kufanikiwa kufuzu hatua ya Robo Fainali, akisema mafanikio hayo yameandika historia kubwa kwa klabu na sekta ya michezo Nchini
Rais Samia amenukuliwa akisema βYanga mmeleta furaha kwa mamilioni ya Mashabiki wenu na Watanzania kwa ujumlaβ
View attachment 2915864
Yeye yanga inamuhusu nini atuambie yake umeme na sukari tunatokaje hapaRais wa JMT mh Dr Samia ameipongeza Klabu ya Yanga kwa kutinga hatua ya Robo Fainali ya Klabu bingwa Africa huku ikiwa na mechi Moja mkononi
Rais amesema mafanikio ya Yanga yameandika historia Kubwa kwa Klabu na Sekta ya Michezo nchini
Nawatakia Dominica Njema [emoji3]
Makolo FC πππππΌHakuna maji , umeme, wala dola.
Yanga ndio inapongezwa.
Yanga ilipigania UhuruYeye yanga inamuhusu nini atuambie yake umeme na sukari tunatokaje hapa
Huko yanga watu wamepambana sehemu yao mpaka kufika hapo yeye apambane na yake
Yeye anafikiria mambo yanajipa tu yenyewe!!
Rais wa JMT mh Dr Samia ameipongeza Klabu ya Yanga kwa kutinga hatua ya Robo Fainali ya Klabu bingwa Africa huku ikiwa na mechi Moja mkononi
Rais amesema mafanikio ya Yanga yameandika historia Kubwa kwa Klabu na Sekta ya Michezo nchini
Nawatakia Dominica Njema π
Na mechi Moja mkononi ππSamia bwana.sasa hapo cha ajabu kipi?
Wakati mnyama hyo nafasi kwake ni kama anakwenda kariakoo?
Hayo ndo maajabu?Na mechi Moja mkononi ππ
Mkuu pole sana kwa utawala uliopo kutokukutambuaHakuna maji , umeme, wala dola.
Yanga ndio inapongezwa.
Daah.Mkuu pole sana kwa utawala uliopo kutokukutambua
Mmeshaambiwa hadi ramadhan tulieniSawa Mama, ila sukari haishikiki.