Rais Samia awapongeza Yanga Sc baada ya kuifunga CR Belouizdad bao 4

Rais Samia awapongeza Yanga Sc baada ya kuifunga CR Belouizdad bao 4

Daah.

Naomba nisieleweke hivyo.

Nachangia yale nayokutana nayo huku mtaani.

Pia yanaisaidia serikali kujisahihisha.
Mkuu kumbe unajua umuhimu wa kuikosoa serikali ili ijirekebishe? Vipi wakati wa magufuli mbona ulikuwa unawashambulia wenye mawazo mbadala?
 
Hiki ndio anacho weza mnoo.
Sukari NO
Umeme NO


Na kuteua na kutengua TU
 
Back
Top Bottom