Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumsemea Kimambi,Rais S. S. H na Mange Kimambi pichani.
Nimeona watu wametoa maelezo yenye hisia tofauti kufuatia Mange Kimambi kuonekana katika picha na Mhe. Rais huko nchini Marekani.
show me where I went wrong ?[emoji1787]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Tatizo lako ni moja. Unajaribu kutafsiri neno kwa neno kutoka kiswahili kwenda kiingereza. Namna hii utakuwa unaongea kiingereza cha kuchekesha muda wote. Namna nzuri ni kuelewa sentensi halafu unaiandika kwa kiingereza.
Hamjawahi kutubuAcha kumsemea Kimambi,
Yeye ni mtu mzima
Kama kutubu na kujisafisha Haina ugumu, angeandika neno dogo tu kwenye page yake, "I'M SORRY"
Angalia jezi aliyovaa ilivyoandikwa!
Chadema wanachofanya ni kudandia mgongo wa yoyote anayejaribu kupambana na CCM na kuishia kuangukia puaChadema wanajua hilo?
Acha uongo, JPM alijua Ana maadui wengi ndani ya chamaJiwe alidhani maadui zake ni wapinzani kumbe ndani ya nyumba ya CCM ndipo alikua ana maadui tena hatari sana...
Hawa kwanini wameficha nywele zao, na mwingine sura kaficha?Rais S. S. H na Mange Kimambi pichani.
Nimeona watu wametoa maelezo yenye hisia tofauti kufuatia Mange Kimambi kuonekana katika picha na Mhe. Rais huko nchini Marekani.
Mi
Kwanini kutwa alikua akizuia vikao vya ndani na mikutano ya wapinzani kwa miaka yake 5?Acha uongo, JPM alijua Ana maadui wengi ndani ya chama
Mwanaharakati aliyekatwa jina kugombea ubunge kwa tiketi ya ccm 2015 jimbo la UbungoHivi mange alikua mwanachadema au mwanaharakati tuu?
Words are the money of fools.show me where I went wrong ?
Mambo sasa kachukia sana kuona picha hiziRais S. S. H na Mange Kimambi pichani.
Nimeona watu wametoa maelezo yenye hisia tofauti kufuatia Mange Kimambi kuonekana katika picha na Mhe. Rais huko nchini Marekani.
Hadithi kunguru na panziObama na Bush walikuja na walinzi watano tu wenye bastola hapa Tanzania? CCM kuna vijana wa hovyo sana.
kitabu kina elimu ila hakina akili wewe umeelimika ila hauna akiliHuyu siyo mrundi bali ni kilaza tu aliyemaliza shule bila kuelimika.
Tuliwaambia chanjo ni zamajaribio mkabisha ,sasa hayo ndiyo matokeo yake .wengine wanasema yesu katomb....mke wakeWords are the money of fools.
Jifariji tu,huwajui ccm vizuri wewe,wale ni zaidi ya beast!!CCM ilishaanza kulegea hadi alipoingia Magufuli na kuteka vyombo vyote vya dola. Simwone mwingine mwenye sifa alizokuwa nazo Magufuli kuweza kuteka kila kitu kama ilivyokuwa wakati wake.
Katika hali hiyo, CCM sasa hivi inaonekana kama mkate mgumu tu unaowaaminisha watu kama wewe kuwa hawawezi kuondolewa madarakani.
Hali imekwishabadilika sana baada ya Magufuli.
CCM ya sasa, nisiwajue?jifariji tu,huwajui ccm vizuri wewe,wale ni zaidi ya beast!!