SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,338
- 4,676
Makovu ya kutawaliwa na Sultani. Halafu anajifanya mnyenyekevu ila sio Bali Ni mtu wa kujipendekeza.Mama anababaikia sana wazungu na kuwaona ndio binadamu wa kweli
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Sasa kumbe kazi ya rais ni nini? Hivi mnajua hata mnavyovitaka? Kazi ya kuongoza nchi si lele mama kama mnavyofikiria, ni rahisi kutukana na kuponda. Anyway nasubir ushahidi wako hata kidogo tu, tuone hizo pesa za umma zilivyonunua wapinzani.Nimekuambia mapema,wewe siyo wa kuambiwa ukaelewa! Huo ujenzi wa hospitali na elimu bure,ndio kazi ya kodi zetu. Hata wakoloni walijenga miundo mbinu mingi tu. Wajerumani ndio waliojenga treni unayoiona. Serikali ya nyerere na ya Mwinyi walisomesha bure watanzania kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu! Hata leo,serikali ya raisi samia inaendelea kujenga hospitali na miundombinu mingine,na kusomesha bure watanzania kwa kodi zetu.
Wewe uliyeuona nisaidie kuuweka hapa, acha ujanja ujanja wa kujificha kwenye matusi. Lete hoja...Ushahidi gani paka wewe. Kwani hukuona?
Kanunua jogoo, Katoa michango ya choo. CAG kathibitisha 1.5 trillion imepotea. Jizee limejenga chattle bila bunge kupitisha hela. Bado pesa alizopeleka njeWewe uliyeuona nisaidie kuuweka hapa, acha ujanja ujanja wa kujificha kwenye matusi. Lete hoja...
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Kwel hyu anatupeleka vzr et eh...Niseme tu ukweli yule jamaa yenu mwenye allergy na ndege na kingereza alikuwa anatupeleka sipo kama nchi.
Mimi mama namkubari sijui nyie wenzangu
Katika watu ambao hawajielewi kabisa kabisa ni watu waliokuwa timu Magufuli. Ni kaputi wa kiwango cha juu kuliko. Wao walidhani ''makamanda'' ndiyo adui yao wasijue kuwa adui yao alikuwa anakula na Magufuli kila siku. Hebu nikupe mfano mmoja. Huyu Mange ni mmoja ya watu waliomtukana na kumdhalilisha Magufuli mno. Leo rais Samia amesimama na kufurahi naye huku anapiga picha. Umegundua nini kwenye hili? Kwa hali ya kawaida huyu angekuwa mhalifu kama wahalifu wengine kwani alidhalilisha mamlaka ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Haijalishi ni nani yuko kwenye kiti cha urais lakini kosa lingekuwa pale pale. Hivi akili zako bado zinashindwa ku-connect dots tu baada ya rais wa sasa kumuona kama shujaa?Tatizo la makamanda uchwara ni kutokujielewa.
Huyu dada hajawahi kushambulia chama amekuwa akishambulia viongozi wake sio chama na kuna tofauti kubwa kati ya mtu na chama. Magufuli hakuwa CCM alikuwa mwenyekiti lakini sio chama
Katika watu ambao hawajielewi kabisa kabisa ni watu waliokuwa timu Magufuli. Ni kaputi wa kiwango cha juu kuliko. Wao walidhani ''makamanda'' ndiyo adui yao wasijue kuwa adui yao alikuwa anakula na Magufuli kila siku. Hebu nikupe mfano mmoja. Huyu Mange ni mmoja ya watu waliomtukana na kumdhalilisha Magufuli mno. Leo rais Samia amesimama na kufurahi naye huku anapiga picha. Umegundua nini kwenye hili? Kwa hali ya kawaida huyu angekuwa mhalifu kama wahalifu wengine kwani alidhalilisha mamlaka ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Haijalishi ni nani yuko kwenye kiti cha urais lakini kosa lingekuwa pale pale. Hivi akili zako bado zinashindwa ku-connect dots tu baada ya rais wa sasa kumuona kama shujaa?
Kabula alikua viti maalum ktk bunge lipi au ktk nn?kuna mengi ya kumsemea huyu mzee ila hili si moja wapo.Hujui CCM Rais ndo kila kitu ?Hakuna wa kumbabaisha Rais kuanzia CCM mpaka Tanzania kama taifa. Rais wa Tanzania ni Mungu mtu. Refer Magufuli hadi mawaziri aliwaita "Pumbavu"Viti maalum alimuweka hadi Kabula hawala yake.
Change the titleMange alimshambulia sana Magufuli hadi kuutweza utu wake leo anatambulishwa kama mtoto wa Mama.
Mama alituambia yeye na Magufuli ni kitu kimoja, mimi nasema kwa haya Mama na Magufuli sio kitu kimoja tusidanganyane.
Tutaona rangi ya kila mmoja muda si mrefuView attachment 1945136
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Bora umemwambia huyu mtu naona bado mchanga sana kiakiliSasa na wewe unaamini ni kitu kimoja ?Wangekuwa kitu kimoja si wangekufa pamoja ?Unafikiri Samia alikuwa anafurahia ubabe wa Magufuli ?
LOoo, mkuu, inabidi nikushangae wewe kwa kuendelea kudhani kwamba 'Maza Mizinguo' ni kitu kimoja na yule jamaa wa Chato!Mange alimshambulia sana Magufuli hadi kuutweza utu wake leo anatambulishwa kama mtoto wa Mama.
Mama alituambia yeye na Magufuli ni kitu kimoja, mimi nasema kwa haya Mama na Magufuli sio kitu kimoja tusidanganyane.
Tutaona rangi ya kila mmoja muda si mrefuView attachment 1945136
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Ubabe wa JPM ulikuwa na tija kwenye Taifa la watu waoga kama letu. Kwa mfano isingekuja tokea watu wahamie Dodoma kama sio ubabe wa mtu mmoja tu!!!Sasa na wewe unaamini ni kitu kimoja ?Wangekuwa kitu kimoja si wangekufa pamoja ?Unafikiri Samia alikuwa anafurahia ubabe wa Magufuli ?
Atahangaika sana. Mama ameogopa mkono π π π π π πMange anataka asamehewe apewe Passport mpya na arudi Bongo [emoji23][emoji23][emoji23], anaunga mkono juhudi , atapewa ukuu wa wilaya soon
Na hivi amekuwa Rais ubabe umeisha? Watu hawabambikiwi kesi, hawawekwi mahabusu bila sababu, mikutano ya kisiasa kwa vyama vyote ruksa, kila mtu ana haki ya kufanya jogging n.k?Sasa na wewe unaamini ni kitu kimoja ?Wangekuwa kitu kimoja si wangekufa pamoja ?Unafikiri Samia alikuwa anafurahia ubabe wa Magufuli ?