Rais Samia awasili Marekani leo Sept 19, 2021 kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN)

Anakuwa rais wetu anapokuwa tz tu. akifika marekan ni raia Kama wengine. Ndio maana ukiangalia ata mangi alivyo vaaa si mavaz ya mtu kukutana na rais wa nchi bali ni vaz la mtu kukutana na raia mwenzake.
 
Kwa Aina hiyohiyo ya safari usitegemee kumuona Putin,Market, Xi Jinpin, Macron na viongozi wengine wa Ulaya wakipewa mapokezi ya namna hiyo yaani Askari wa NYPD anakaa 0 distance na Raisi huku ameshika pistol hayo wanafanyiwa waafrika tu
 
Zile mbwembwe za ulinzi ni bongo tu akifika mbele anakua kama fundi maiko
 
Kwa Aina hiyohiyo ya safari usitegemee kumuona Putin,Market, Xi Jinpin, Macron na viongozi wengine wa Ulaya wakipewa mapokezi ya namna hiyo yaani Askari wa NYPD anakaa 0 distance na Raisi huku ameshika pistol hayo wanafanyiwa waafrika tu
Unakuza mambo tu,ngoja nikwambie jambo, hivi sasa NYC iko lockdown sababu ya huu mkutano wa UNGA,viongozi karibia wote wa nchi wanachama wa UN watakuwa NYC,unadhani United State Secret Service wataweza kutoa ulinzi kwa viongozi wote?

Ni lazima na vyombo vingine vishiriki kutoa ulinzi ikiwa ni pamoja na NYPD,FBI nk.

Putin,Xi ni viongozi wa mataifa makubwa advance team yao inawasili mapema tena na gari zao hivyo hata sisi tungetaka kufanya hivyo tungefanya hatuzuiwi ila ni ghali na wakati ulinzi anaoupata SSH na viongozi wengine ni 1st class.
 
Lini Marais wa marekani wakawapokea Marais wa nchi nyingine wanaohudhuria mkutano mkuu wa umoja wa mataifa(UNGA)?!!
 
Zile mbwembwe za ulinzi ni bongo tu akifika mbele anakua kama fundi maiko
Kwani hiyo ni "state visit"?!!!

Marais wa dunia wanahudhuria "UNGA"...

Watatoa ulinzi mkubwa "special" kwa viongozi wangapi ?!!!
 
Rais akiwa nje nchi ile mitutu na ffu hakuna kule anapatiwa ulinziwa hadhi yake plus advance team yake watu 12 .....na wale 5 anaokuja nao .....bastola 5 tu huruhusiwa kuingia nazo ......protocols za kimataufa ila suo nchi zile G20 uko tofauti kidogo
Obama na Bush walikuja na walinzi watano tu wenye bastola hapa Tanzania? CCM kuna vijana wa hovyo sana.
 
Aisee...
Kapokelewa kama mkimbizi wa kimexican...
Anasindikizwa na Immigration Officer...
Kweli Tanzania kaiinchi kadogo sana kwa mabeberu....🤣🤣🤣
😲😲Ni lini marais wa Marekani wakawapokea Marais wa nchi nyingine wanaohudhuria "UNGA"?!!
 
Naomba maandishi ya bango yaletwe hapa
Na hayo ya t-shirt "Diaspora tunakukubali" hayo ya "Bango" yalikuwa kibwagizo tu!

Watu wanachokisahau ni kwamba bibie tayari yumo kwenye kampeni ya 2025.

Mange hakuwa pale kwa bahati mbaya. Ilipangwa iwe hivyo.
 
Unakuza mambo tu,ngoja nikwambie jambo, hivi sasa NYC iko lockdown sababu ya huu mkutano wa UNGA,viongozi karibia wote wa nchi wanachama wa UN watakuwa NYC,unadhani United State Secret Service wataweza kutoa ulinzi kwa viongozi wote?
Mkuu 'Mwanambee' hapo juu kakufahamisha vizuri tu, kwa kukutajia hiyo mifano, lakini wewe unaendelea kujitia ujuaji.

Sielewi hapa una maana gani na hiyo "lockdown" ya New York unayoiandika hapa. Unaelewa maana ya 'lockdown'?
 
Amepokelewa na nani maana simwoni Baiden
 
CCM ni ile ile - wizi wa kura kupitia tume yao ya uchaguzi na kukandamiza vyama vingine vya siasa, kutoruhusu mijadala ya katiba mpya achilia mbali kuitoa. Walio na mawazo tofauti na wao wanakuwa wasaliti hata kuitwa magaidi wengine kupata hadi hati za kifo.

CCM si watu kabisa hawana ubinadamu.
 
Eti amefurahi kukutana na Mange Kimambi, huku sauti haioneshi furaha!
 
Aliwaambia wa chini yake kuwa akiona bango la malalamiko kibarua kinaota nyasi, sasa na yeye kapigwa mabango kwenye nchi ya ma-cowboys, je atajiondoa kwenye Urais? Au balozi ndio atang'oka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…