Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Victoire dadangu umebadilika sana na hizo kauli ngumu....Hujui CCM Rais ndo kila kitu ?Hakuna wa kumbabaisha Rais kuanzia CCM mpaka Tanzania kama taifa. Rais wa Tanzania ni Mungu mtu. Refer Magufuli hadi mawaziri aliwaita "Pumbavu"Viti maalum alimuweka hadi Kabula hawala yake.
YASHILAGA MAYU