Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Rostam Aziz alikuwa Zambia na kuonana na Rais Hichilima wiki iliyopitaNi jambo jema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rostam Aziz alikuwa Zambia na kuonana na Rais Hichilima wiki iliyopitaNi jambo jema
Kwani hao wote uliowataja wako wapi tumia akili lau kidogo mwanangu. Hao wengine unaowataja hawana rekodi chafu kama Jakaya Kikwete mosi, pia, hawakuwa marais wa Tanzania ukiondoa Nyerere ambaye anajulikana kwa usafi wake. Tafuta sababu nyingine ya kuhoji
Mbona unaongea utumbo kana kwamba mazabe ya Kikwete huyajui au wewe ni Kikwete au mwanaye au chawa wake?Mkuu punguza chuki na wivu kwa Kikwete! JK sio Jakaya tu!
Huyo naye ni rais wenu wa nyuma ya pazia al maarufu KagodamanRostam Aziz alikuwa Zambia na kuonana na Rais Hichilima wiki iliyopita
Ninachompendea Rostam Aziz hana Machawa kama FaizaFoxy 😂Rostam Aziz alikuwa Zambia na kuonana na Rais Hichilima wiki iliyopita
Atakuwaje na chawa wakati naye ni chawa?Ninachompendea Rostam Aziz hana Machawa kama FaizaFoxy 😂
Thubutu!Atakuwaje na chawa wakati naye ni chawa?
Mbona anao kila mahali na hawajifichi?Thubutu!
Nafikiri, labda imebidi tena aende na timu yake nzito kama ile ya India, na hivyo Presidential jet isingetosha......Zambia tu hapo dreamliner?
Huu ni UONGO, President Nyerere (rip),ameitawala Tanzania more than 25 yrs, kipindi kile kilikua kigumu hasa cold War,ukombozi wa nchi nyingi za kusini, etc etc, but President Nyerere hakua na makuu, motorcade yake less than 4 cars, pale msasani alipoishi wale majirani zake wenye vibanda hakuwaondoa na alikua anawatembelea, pale Mwitongo ni pa kawaida, nyumba amejengewa na jeshi, museum yake pesa kutoka kwa president Samora, kipanda kinachohifadhi kaburi lake fedha zimetoka kwa president Madiba, sasa nenda pale Msoga uone wizi wa pesa yetu (only 10yrs ya utawala wake),nenda pale lushoto uone maajabu (naye 10yrs tu),my best president, Mwinyi ewe Mwenyezi Mungu mpe maisha marefu yenye furaha, alichafuliwa sana ila Ali apply cool head, na hakulipiza kisasiMkuu hakuna anaye mfikia Nyerere!
RA yeye anao chawa wake. Chawa wake no 1 ni sshNinachompendea Rostam Aziz hana Machawa kama FaizaFoxy 😂
Alimleta Lowassa Chadema baada ya Uchaguzi mkuu akamrudishia CCMRA yeye anao chawa wake. Chawa wake no 1 ni ssh
Ajabu Na Kweli Yaani Sifa Muda Wote, Huku Umeme, Maji ShidaZambia tu hapo dreamliner?
Taifa Gas, Caspian Construction LtdRostam alikuwa Zambia tangu juzi.
Unganisheni dot.
Aziz ni kiunganishi cha Tanzania na DuniaMbona anao kila mahali na hawajifichi?
baafa ua kukifukuza UNIP wamenufaika vipi kiuchumi kuliko Nchi yetu?Tofauti ya Wazambia na Wabongo nuksi ni kubwa sana.
Wazambia walipopata fursa tu wakakifukuza Chama cha UNIP Wabongo nuksi wamekalia Uchawa.
Kishavunja za Marais woteMama anaelekea kuvunja rekodi ya JK
Kama kuchukia Matajiri kunafanya Nchi kuendelea sasa hivi tungekuwa kwny G5Rostam alikuwa Zambia tangu juzi.
Unganisheni dot.