Magu mwenyewe na umwamba wake alisanda kwa RA. Ikabidi akubali tu kuwa mshkaji wakeAlimleta Lowassa Chadema baada ya Uchaguzi mkuu akamrudishia CCM
Yule jamaa ni Mfalme wa Tanzania π
Anaitwa KingmakerHuyo naye ni rais wenu wa nyuma ya pazia al maarufu Kagodaman
Hakuachwa bali aliuziwa Zile nyaraMagu mwenyewe na umwamba wake alisanda kwa RA. Ikabidi akubali tu kuwa mshkaji wake
Yule mdogo wake RA alikamatwa na nyara za Jamhuri aliachiwa bila kelele na huyo huyo Magu unayemsifiaga kuwa ni shujaa wa bara la giza
Nitake radhi.mshahara wako hapo Manispaa
ππNitake radhi.
Huu ni UONGO, President Nyerere (rip),ameitawala Tanzania more than 25 yrs, kipindi kile kilikua kigumu hasa cold War,ukombozi wa nchi nyingi za kusini, etc etc, but President Nyerere hakua na makuu, motorcade yake less than 4 cars, pale msasani alipoishi wale majirani zake wenye vibanda hakuwaondoa na alikua anawatembelea, pale Mwitongo ni pa kawaida, nyumba amejengewa na jeshi, museum yake pesa kutoka kwa president Samora, kipanda kinachohifadhi kaburi lake fedha zimetoka kwa president Madiba, sasa nenda pale Msoga uone wizi wa pesa yetu (only 10yrs ya utawala wake),nenda pale lushoto uone maajabu (naye 10yrs tu),my best president, Mwinyi ewe Mwenyezi Mungu mpe maisha marefu yenye furaha, alichafuliwa sana ila Ali apply cool head, na hakulipiza kisasi
Duh.πWakati wa malehemu Mkuu Magufuli mijibwa koko ulikuwa au ilikuwa haionekani mitaani ,leo yupo mdada anaongoza nchi tunaona ni jinsi gani mijibwa koko yanavyokweka.
Mala bandali imeuzwa,mala waalabu wamepewa nchi ,mala anapanda ndege ,anasafili sala, yaani tunaiona mijibwa koko ilivyochangamka mikiya juu.
ila ikichakarishwa tu ,hupotea wengine hukimbia za mwendo kasi wanaenda kuangalia kuna nini wakiwa ughaibuni.
Dege kubwa Dreamliner wala siyo Airbus.Ameongozana na watu wangapi?
Je, amezingatia ule utaratibu wa kubana matumizi?
Mimi nadhani kwa sababu Zambia ni jirani kabisa na sisi, ili kubana matumizi angeweza kwenda huko kwa usafiri wa Treni.
Yeye amekwenda huko kwa usafiri gani?