Rais Samia awasili Saudi Arabia kushiriki mkutano unaozikutanisha nchi za Afrika na Saudi Arabia kujadili masuala mbalimbali ya ushirikiano

Rais Samia awasili Saudi Arabia kushiriki mkutano unaozikutanisha nchi za Afrika na Saudi Arabia kujadili masuala mbalimbali ya ushirikiano

Kwa hiyo unataka alifungie Taifa letu chumbani?au unafikiri Tanzania ni kisiwa? Kwani kuna mipaka ambako inatakiwa asiende kuliwakilisha Taifa letu? Kwani umesikia kuna vikwazo vya aina yoyote ile ambavyo tumewekewa kama nchi kwa Rais wetu kutokwenda sehemu fulani?
Ww wanakukata nini? Umeelewa swali nililouliza au unaparamia kujibu utumbo?
 
Soko kuu la nyama na wanyama hai ni Saudi Arabia.

Kila siku nakwambia wewe ni mbumbumbu hakuna unachojua.
Hilo li Bejamini Netanyau ni mbumbumbu na nyumbu wa ufipa .haelewi kitu chochote zaidi ya mibagi iliyomkataa. Endelea kumpa data tu mpaka akimbie humu kama kichaa kama walivyoyakimbia maandamano ya jana na kwenda kujificha vichochoroni.
 
Hilo li Bejamini Netanyau ni mbumbumbu na nyumbu wa ufipa .haelewi kitu chochote zaidi ya mibagi iliyomkataa. Endelea kumpa data tu mpaka akimbie humu kama kichaa kama walivyoyakimbia maandamano ya jana na kwenda kujificha vichochoroni.
Hahahaha yaani wewe dada angu ni mjinga haswa, data gani hapo?
 
Back
Top Bottom