Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Wakati ana saini alikuwa amesinzia? Mwingulu atammaliza huyu bibiSpika Ndugai ametangaza mabadiliko madogo ya ratiba ya vikao vya Bunge ambayo yametokana na Muswada wa Hati ya dharura kutoka kwa Rais Samia ambapo amepeleka mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ambayo mojawapo wataangalia sheria ya tozo ya kodi ya mazao ambayo anataka iondolewe.
Kamati ya Bunge ya Bajeti ilipitisha sheria inayoruhusu Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) kuanza kutoza ushuru wa bidhaa wa asilimia mbili kwa mazao nchini.
Huwa hawasomi ni kusaini pekee, Mwigulu atammaliza huyu bibi hatoboiHwq si wameipitisha juzi..inakuwaje ndani ya miezi 4 wanaleta hati ya dharura
Bunge la mavampireKwa nchi kama Tanzania na bunge letu lilivyo, inawezekana hiyo hoja ikapingwa?
Nilivyosoma tozo nikatabasamu nilikua sijamalizia kwenye mazao...
Hili ndo la muhimu kwa sasa.Tunataka rais wa Tanganyika yetu
Hivi hizi sheria zilitungwa na bunge la Chaema au ndio hili hili la mazuzu??Spika Ndugai ametangaza mabadiliko madogo ya ratiba ya vikao vya Bunge ambayo yametokana na Muswada wa Hati ya dharura kutoka kwa Rais Samia ambapo amepeleka mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ambayo mojawapo wataangalia sheria ya tozo ya kodi ya mazao ambayo anataka iondolewe.
Kamati ya Bunge ya Bajeti ilipitisha sheria inayoruhusu Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) kuanza kutoza ushuru wa bidhaa wa asilimia mbili kwa mazao nchini.
Tozo hizo zilipitishwa na Bunge la Chadema kwakuwa sasa hawapo na lao halipo, hivyo wanaziondoa.Spika Ndugai ametangaza mabadiliko madogo ya ratiba ya vikao vya Bunge ambayo yametokana na Muswada wa Hati ya dharura kutoka kwa Rais Samia ambapo amepeleka mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ambayo mojawapo wataangalia sheria ya tozo ya kodi ya mazao ambayo anataka iondolewe.
Kamati ya Bunge ya Bajeti ilipitisha sheria inayoruhusu Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) kuanza kutoza ushuru wa bidhaa wa asilimia mbili kwa mazao nchini.
Tozo ya mazao, sio tozo ya miamala. Huea hamsoni kabisa?Hwq si wameipitisha juzi..inakuwaje ndani ya miezi 4 wanaleta hati ya dharura
Hiyo ni tozo ya mazao, sio ya miamalaWakati ana saini alikuwa amesinzia? Mwingulu atammaliza huyu bibi
Una wa underrate ma vampire!!?Bunge la mavampire