pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Serikali makini inayojali na kusikiliza raia wake,
Hivi wengine wangeweza kweli!
Hivi wengine wangeweza kweli!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo uzuzi huo hatukawii kuambiwa mama anahuruma kumbeAs if sio the same people waliopitisha hii kitu..... yanakeraaaaa
Kuna kakicheko Fulani kalimtoka spika alipokuwa anawasilisha hoja hiyo.Meza zilikuwa zinapigwa huku yeye anacheka peke yake
Kumradhi wakuu, hati ya dharura ya nini? Mmeniacha njiapanda!Serikali makini inayojali na kusikiliza raia wake,
Hivi wengine wangeweza kweli!
Hiyo sheria alipitisha mungu wenu wa Chatttle, Rais wa Sasa kwakuwa muungwana,sheria zote kandamizi zakuwaumiza wananchi anazipiga chini,Wakati ana saini alikuwa amesinzia? Mwingulu atammaliza huyu bibi
Hilo Babati ni msukule wa mwendazake, ye kwa akili yake anajua ni sheria ya tozo ya mihamalaHiyo ni tozo ya mazao, sio ya miamala
Tozo kwenye miamala imeanzishwa na nani?Hiyo sheria alipitisha mungu wenu wa Chatttle, Rais wa Sasa kwakuwa muungwana,sheria zote kandamizi zakuwaumiza wananchi anazipiga chini,
Sasa unavyosema Mwigulu atammaliza ammalizaje kilaza wewe!!
[emoji23][emoji23] ulijua kwenye miamala imekula kwakoKwa nchi kama Tanzania na bunge letu lilivyo, inawezekana hiyo hoja ikapingwa?
Nilivyosoma tozo nikatabasamu nilikua sijamalizia kwenye mazao...
Na magufuli!Tozo kwenye miamala imeanzishwa na nani?
Bibi mchawi , Mwigulu mchawi wamekutana.. wana DAMSH…wananyonga tu watanzania kwa raha zao.Wakati ana saini alikuwa amesinzia? Mwingulu atammaliza huyu bibi
Naona hata hizo tozo za miamala itakuwa alianzisha Mwendazake maana Samia muungwana hawezi kuwanyonya hivyo wananchi wake.Tozo kwenye miamala imeanzishwa na nani?
Kwaiyo unataka mafuta yasiwekewe tozo?!Vipi kuhusu zile tozo kibao kwenye mafuta nazo wameleta hati ya dharura kuzifuta?