Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Ndio huyu,ni Rais wa Tanganyika.Wanzazibar ni watu waliotoka Tanganyika,kwenda kuanzisha maisha Zanzibar,neno Zinjibar linathibitisha hilo.Tunataka rais wa Tanganyika yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio huyu,ni Rais wa Tanganyika.Wanzazibar ni watu waliotoka Tanganyika,kwenda kuanzisha maisha Zanzibar,neno Zinjibar linathibitisha hilo.Tunataka rais wa Tanganyika yetu
Utadhani sio wao Waliopitisha.Kuna kakicheko Fulani kalimtoka spika alipokuwa anawasilisha hoja hiyo.Meza zilikuwa zinapigwa huku yeye anacheka peke yake
mama alibadilisha kidogo, tukasema hatutaki,Mchakato wa nini? Maendeleo au?
Anyway ngoja niamini kwamba ni mchakato wa maendeleo.
Sasa kama ni mchakato wa maendeleo mbona hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani? JPM si ndiyo alikuwa anasisitiza mchakato wa haraka haraka wa maendeleo ambao ndiyo ulikuja kutafsirika kama ni udikteta, upigaji, mabavu, maonevu, uvunjifu wa sheria... SSH alipoingia akapindua meza kwa kusisitiza uzingatiaji wa sheria za nchi, sasa tena leo tumebadilika tunarudi kwenye chorus ile ile ya JPM; kwa kupeleka hati ya dharura Bungeni ya kutaka mchakato uende haraka haraka? Baghosha!
JPM Fast-track Slogans:
1. Ni heri ufanye haraka ukosee kuliko kutofanya kabisa au kuchelewa kufanya maamuzi/utekelezaji Magufuli, J.P.
2. Muda hautusubiri! Wananchi wanataka matokeo/maendeleo Magufuli, J.P.
3. Tusipofanya leo nani atakuja kufanya? Magufuli, J.P.
4. Kazi ifanyike usiku na mchana ili kukabidhi mradi ndani ya muda wa mkataba Magufuli, J.P.
5. Natoa siku 7 Shule ya Msingi King'ong'o ikamilike Magufuli, J.P.
5. Natoa nyongeza ya muda hadi Disemba mradi wa Machinjio ya kisasa ya Vingunguti ukamilike, hakuna muda wa nyongeza ehiiiii.... Magufuli, J.P
Nukuu zisizo rasmi.
Mkuu,Hahaha, una vichekesho vitamu balaa. Hivi tozo ya miamala yenyewe ilitungwa na mungu wao au na mungu wako?
MwiguluTozo kwenye miamala imeanzishwa na nani?
Mkuu,Huko nchi ya ushelisheli unatengeneza sheria mbaya ya tozo kisha unaiondoa kwa hati ya dharura bungeni ili uonekane kuwa ni Rais bora kwa wananchi kumbe ni Paka pori fulani tu ambalo limepata urais kwa zali.
Hiyo inaitwa tengeneza tatizo alaf ulitatue ili usifiweHwq si wameipitisha juzi..inakuwaje ndani ya miezi 4 wanaleta hati ya dharura
Kwahiyo kati ya Bashe na Mkenda nani kakalia kuti kavu?Hwq si wameipitisha juzi..inakuwaje ndani ya miezi 4 wanaleta hati ya dharura
Wote wako salama,Kwahiyo kati ya Bashe na Mkenda nani kakalia kuti kavu?
Hahahaaa... can you dare C-19 that much? What will you call the 14 from CUF?Miswada mingapi hupitishwa bungeni na ikarudishwa tena kurekebishwa? Tena worse enough ndani ya muda mfupi. Mswada umepitishwa kwenye la budget la mwaka huu. Wananchi tunaolipa gharama za wabunge wetu mle mjengoni tuna wasiwasi; ama miswada hupita wabunge wengi wanasinzia, hawapo bungeni au watoro NA au wabunge wetu wanakosa umakini (bunge dhaifu). Na hii ni mara ya kwanza tangu bunge la vyama vingi lianze tunashuhidia bunge likiwa na sehemu kubwa ya wabunge toka chama kimoja. Naamini kama Bunge lingekuwa lina wabunge toka vyama mbalimbali (mfano tumewamic sana kina Zitto, Mbatia, Mbowe na macovid-19 kabla hawasilimishwa kujiunga na CCM).
Serikali makini inayojali na kusikiliza raia wake,
Hivi wengine wangeweza kweli!
Kwa hiyo mkuu unataka niwapetipeti vibaka walioingia madarakani kwa wizi wa kura?Mkuu,
Harmonize your post with your signature (I have decided to stick with love, hate is too great a burden to bear!) they are in conflict!
Mazao nilime mimi, pembejeo zote nijitegemee, viatilifu vyote juu yangu, mbolea ninunue mfuko wa 50 kgs 110,000, nipalilie, nivune afu nikiuza ndo mje mchukue 2% kweli jamani ?Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) kuanza kutoza ushuru wa bidhaa wa asilimia mbili kwa mazao nchini.
Kanaweza kuwa na maana gani kale kakicheko?Kuna kakicheko Fulani kalimtoka spika alipokuwa anawasilisha hoja hiyo.Meza zilikuwa zinapigwa huku yeye anacheka peke yake
Hahahahaaa.. SSH hajaiba kura mkuu, msubirie 2025-2030-2035 ndiyo tuone tutamtathminije kwenye usalama/ulinzi wa kura. By the way, Mbowe aliishasema CDM haitagombea, sasa hao waliobaki wanamuweza mama kweli ukipiga hesabu vzr mkuu?Kwa hiyo mkuu unataka niwapetipeti walioingia madarakani kwa wizi wa kura?
View attachment 2005592
Mkuu,Mazao nilime mimi, pembejeo zote nijitegemee, viatilifu vyote juu yangu, mbolea ninunue mfuko wa 50 kgs 110,000, nipalilie, nivune afu nikiuza ndo mje mchukue 2% kweli jamani ?