Rais Samia awataka viongozi kusaidia utatuzi wa changamoto za wananchi

Rais Samia awataka viongozi kusaidia utatuzi wa changamoto za wananchi

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewataka Viongozi kusaidia utatuzi wa matatizo yanayowakabili Wananchi akisema, "Haipendezi changamoto inatatuliwa, ukija tena changamoto ile ile ipo"

Ameeleza hayo akiwa Kilimanjaro ambapo amezindua Barabara ya lami ya Sanya Juu - Elerai. Rais yupo Mkoani humo kwa ziara ya kikazi

Akizungumza na wananchi amesema, "Naona mabango mengi. Kuna migogoro ya ardhi na ya maslahi ya wafanyakazi. Maafisa wangu wakusanye yote tutayafanyia kazi"
 
Hizo barabara a lami pale dar wamezindua nyinyi sana lakini zote zimekuwa ni parking na malori ya mizigo, wengine tunapata changamoto sana hasa kwa sie wageni hili nalo liangalie kariakoo imekuwa eneo la malori sasa
 
Back
Top Bottom