PETER THE ROCK
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 528
- 807
Kama kumtetea Rais wetu ni kwa njia hii ya ushabiki wa kisiasa nchi yetu haitaendelea. Morals ni kitu binafsi wacha anayeambiwa ajipime.Mwenye hiyo MORAL AUTHORITY ni nani?
Mbowe?
Endelea kuufukuza upepo mkuu.
#SiempreJMT