Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Aug 21, 2024 #21 Course Coordinator said: Anataka Mila za Kizimkazi zitunzwe ila anapenda kuona Mila za Wamasai zinapitea, ikumbukwe kabila la masai ndo kabila pekee Tz linalotunza Mila zao toka enzi za mababu na mabibi zetu. Sijui kwa nini huyu mama amejitenga sana na Wamasai !!! Click to expand... Wamasai siyo ndugu zake
Course Coordinator said: Anataka Mila za Kizimkazi zitunzwe ila anapenda kuona Mila za Wamasai zinapitea, ikumbukwe kabila la masai ndo kabila pekee Tz linalotunza Mila zao toka enzi za mababu na mabibi zetu. Sijui kwa nini huyu mama amejitenga sana na Wamasai !!! Click to expand... Wamasai siyo ndugu zake
mahindi hayaoti mjini JF-Expert Member Joined Nov 29, 2022 Posts 2,120 Reaction score 2,709 Aug 21, 2024 #22 Haya haya angefanya mgalatia msingepiga kelele, udini tu unawasumbu
S.M.P2503 JF-Expert Member Joined Nov 25, 2008 Posts 2,421 Reaction score 4,344 Aug 21, 2024 #23 mahindi hayaoti mjini said: Kwahiyo warithi ndio wanatakiwa kujibu sasa ππππ€£π€£π€£π€£ Click to expand... sawa kabisa, umesema vyema ndugu yangu Mahindi...
mahindi hayaoti mjini said: Kwahiyo warithi ndio wanatakiwa kujibu sasa ππππ€£π€£π€£π€£ Click to expand... sawa kabisa, umesema vyema ndugu yangu Mahindi...