More Chances
Senior Member
- Jun 24, 2022
- 151
- 344
Mimi nampa mama maua yake tu , unataka wote tuwe against kiongozi kwa baya lipi alilofanya mama etuMkeka ujao utakumbukwa ongeza bidii
Noti ya Tanzania ShilingiNdio awekwe kwenye noti ya kizimkazi
Hajauza bhana amewapa waendeshe kisasa zaidi ili kuboresha utendaji wa bandari.Hapana, ameuza bandari na mbuga kwa waarabu, itakuwa ni laana kumuweka kwenye sarafu
bila kikomo?Hajauza bhana amewapa waendeshe kisasa zaidi ili kuboresha utendaji wa bandari.
mbn Dp world inaendesha bandari za nchi nyingi tu
Noti ya kizimkazi ndo inafata, watoto wa kizimkazi watakuwa wanatumia iyo notiNoti ya Tanzania Shilingi
Sina shaka na maamuzi ya mamabila kikomo?
Hata mumpambe vipi kwetu Tanganyika huyo ni kama Julius Von Soden. Muda wake ukifika tutamsahau kabisa.Tanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.
Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.
Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?
Nawasilisha.
Sio muhimuTanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.
Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.
Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?
Nawasilisha.
Mama anaongoza vzuri sana sema tu watu msha develop NegativityHata mumpambe vipi kwetu Tanganyika huyo ni kama Julius Von Soden. Muda wake ukifika tutamsahau kabisa.
Hana tofauti na magavana wa Kijerumani au Kiingereza waliotawala Tanganyika
Kumbuka hata Malkia alikuwa kwenye coin za Tanganyika. Ila kwa sasa ziko wapi hizo coin?
SahihiTanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.
Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.
Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?
Nawasilisha.
Kwani uongo??Wewe ni chawa tena siyo chawa bali kiroboto mnyonya damu.kwa hio tukisema ukweli
tunaitwa chawa