Pre GE2025 Rais Samia awekwe kwenye Noti/Sarafu

Pre GE2025 Rais Samia awekwe kwenye Noti/Sarafu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
IMG-20240522-WA0013.jpg

Hapa Uchumi umepnda ama unajaribu kuzungumzia nini?!
 
Tanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.

Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.

Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?

Nawasilisha.
Hivi Malawi & Liberia hazikuwahi kuwa na maraisi wanawake au mm rekodi zimenitoka.
 
Tanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.

Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.

Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?

Nawasilisha.
Hata Magufuli mulitaka hayo hayo, taweka ya kwako...
 
Ni wazo zuri lakini ni vizuri akiwa keshastaafu maana hapa kati huwezijua ataharibu kiasi gani maana huna gerentii ya yeye kuendelea na mema
 
Hastahili, hakuna maajabu yoyote aliyofanya tangu aupate urais wa ndondokela!
Hana maono, pesa yetu imeporomoka sana thamani, uwajibikaji serikalini umeshuka sana, upigaji umeingezeka...tena mwingine kaubariki kwenye kikao baraza la mawaziri!!.
Hafai hafai hafai!!!.
 
Bibi Titi Mohammed ndiye mwanamke shujaa na mzalendo nambari moja wa nchi hii. Alipaswa kuwekwa kwenye noti.
 
Kama mleta mada ni mwanaume inaelekea hata nyumbani kwake anatawaliwa na mke wake,ameshindwa hata kujua kuwa yeye kama mwanaume ni kichwa na hatakiwi kutawaliwa na mwanamke pia dini zinakataza mwanamke kuwa mtawala wa ngazi kama ya urais.
 
Kama mleta mada ni mwanaume inaelekea hata nyumbani kwake anatawaliwa na mke wake,ameshindwa hata kujua kuwa yeye kama mwanaume ni kichwa na hatakiwi kutawaliwa na mwanamke pia dini zinakataza mwanamke kuwa mtawala wa ngazi kama ya urais.
unawaza nini?.
 
Tanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.

Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.

Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?

Nawasilisha.
Picha alizowekwa kwenye minara na dpw Dubai hazijatosha mpaka tumuweke na kwenye note zetu?.
 
Tuache utani.kati ya Marais walioharibu uchumi ni huyu .hatutakubali huo uhuni.
 
Tanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.

Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.

Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?

Nawasilisha.
Uchawa mnausomea chuo Gani?
 
Mama awekwe kwenye sarafu zetu tena haraka.
Miaka 3 tu amekuwa Master wa Shaolin Temple.
Mama yetu ipo akili kubwa sana,
Mama yetu ni mfano wa kuigwa,Mama wa vitendo.
Mama yetu ndio kiongozi atakae tuvusha AI,Machine Learning na Criptol currency.
Mama ni msikivu ndio maana Magu mega project anazimaliza.
 
Back
Top Bottom