Pre GE2025 Rais Samia awekwe kwenye Noti/Sarafu

Pre GE2025 Rais Samia awekwe kwenye Noti/Sarafu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mama anaongoza vzuri sana sema tu watu msha develop Negativity
ndio maana mnaongozwa na Chuki
Mambo ya chuki yametoka wapi? Von Soden naye aliongoza vizuri. Richard Turnbull naye aliongoza vizuri hadi akatupa uhuru.

Mama wa Kizimkazi naye tutamsoma kwenye historia kama hao watawala wa kigeni
 
Tanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.

Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.

Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?

Nawasilisha.
imepita hioo utekelezaji tuu
 
Tanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.

Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.

Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?

Nawasilisha.
ulimpigia kura?.
 
Tanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.

Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.

Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?

Nawasilisha.

Mpaka afanye kitu kikubwa cha kitaifa kama katiba ambayo ni kwa manufaa ya umma na sio kichama
 
Tanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.

Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.

Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?

Nawasilisha.
Atawekwa tuu ,wapende au wanune

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1793265272230469821?t=ZEjelT4ODM0YSCNRo9arkA&s=19
 
Akawekwe kwenye noti za Kizimkazi huko. Na yale majicho yake si atatisha watu kwenye hizo noti?
 
Nahisi mtoa mada umevimbiwa amani uliyo nayo kwa sasa na umemiss matusi
 
Tanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.

Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.

Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?

Nawasilisha.
HAPANA.
 
Tanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.

Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.

Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?

Nawasilisha.
Raisi Samia alikataa kusifiwa sifiwa Baada ya kugundua wale wanaomsifia sana ndio mafisadi
 
Tanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.

Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.

Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?

Nawasilisha.
Raisi Samia alikataa kusifiwa sifiwa Baada ya kugundua wale wanaomsifia sana ndio mafisadi
 
Back
Top Bottom