More Chances
Senior Member
- Jun 24, 2022
- 151
- 344
- Thread starter
- #41
One day uta appreciate her jobUmekula maharage ya wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
One day uta appreciate her jobUmekula maharage ya wapi?
Mambo ya chuki yametoka wapi? Von Soden naye aliongoza vizuri. Richard Turnbull naye aliongoza vizuri hadi akatupa uhuru.Mama anaongoza vzuri sana sema tu watu msha develop Negativity
ndio maana mnaongozwa na Chuki
Mnajitoa akili mradi mkono uende kinywani.Badae ntaanzisha uzi wa kuelezea mazuri ya mama Samia
imepita hioo utekelezaji tuuTanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.
Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.
Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?
Nawasilisha.
ulimpigia kura?.Tanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.
Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.
Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?
Nawasilisha.
Kama prezidaaa wakwanza wakike Tiziii!
Tanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.
Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.
Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?
Nawasilisha.
Kuhusu Katiba tumpe tena mitano ataibadilisha wala hana shida mama etuMpaka afanye kitu kikubwa cha kitaifa kama katiba ambayo ni kwa manufaa ya umma na sio kichama
doesnt matter ila ndio keshakuwa Prezdar tukutane 2030ulimpigia kura?.
Atawekwa tuu ,wapende au wanuneTanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.
Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.
Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?
Nawasilisha.
Shika adabu yakoAkawekwe kwenye noti za Kizimkazi huko. Na yale majicho yake si atatisha watu kwenye hizo noti?
Hahahaaaa 😀😃😄😁Shika adabu yako
🤣 🤣 🤣Ule ugonjwa wa kuingia chooni na kuacha akili huko kisha kutoka na haja kubwa kichwani unaendelea kutafuna chawa wa taifa hili
HAPANA.Tanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.
Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.
Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?
Nawasilisha.
Raisi Samia alikataa kusifiwa sifiwa Baada ya kugundua wale wanaomsifia sana ndio mafisadiTanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.
Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.
Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?
Nawasilisha.
Raisi Samia alikataa kusifiwa sifiwa Baada ya kugundua wale wanaomsifia sana ndio mafisadiTanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.
Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.
Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?
Nawasilisha.