Pre GE2025 Rais Samia awekwe kwenye Noti/Sarafu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuwa na rais mwanamke nayo ni bahati? Mbona mnapenda Sana kutumia jinsia ya huyu mama vibaya.
No wonder kama taifa tumekosa identity Kwa ujinga WA wananchi WA taifa hili uliosababishwa na siasa chafu .
 
Au juu ya mlima kilimanjaro
 
Kwakuwa reality Mama ndie Rais, hakuna ubaya akiwekwa kwenye sarafu japo haitegemewi kama suala la kuongozwa na Rais mwanamke litajirudia katika historia ya bongo baada ya Mama kumaliza muda wake hapo 2031.

It was just by chance she became the President and what we know is that most African countries are not ready for a female President.
 
Chai
 
Tanzania bado tuna wananchi wengi waoingia chooni wakiwa wamevaa kanda mbili wakiamin viatu huvaliwa ofisini na makanisani tu

Mungu tusaidie
 
ndio maana nikasema nchi chache, mimi skusema yeye ndo wa kwanza, halatu tuna noti zaidi ya nne kwani mama akikaa kwenye noti moja kuna ubaya?
Weka kwanza sura ya Mkapa kwenye noti mojawapo,halafu Kikwete,halafu Magufuri na Mama Samiah maana picha za Mwinyi na Nyerere zipo ili kuweka uwiano sawa ili moyo wako uridhike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…