JOYOPAPASI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 250
- 409
SAUTI YA VITA, NI SAUTI YA VITA YA KORONA Naa Joseph #Yona
Miaka ya Tisini naa nikiwa Shule ya Msingi tulizoea katika nyimbo za mchaka mchaka tulipenda kuimba wimbo mmoja nilikuwa naupenda sana na mpaka leo bado nakumbuka.
#WIMBO
SAUTI YA VITA INAPORINDIMA, ASKARI WOOTE MATUMBO HUWA JOTO, LAKINI MASHUJAA HUWA YU TAYARI KUFA NA KUPONA APATE USHINDIIII, WATANZANIA TUMO KATIKA VITA..................OK TUUITE VITA YA KORONA.
Jana tarehe 28/07/2021 ilikuwa siku ya kusisimua kwa watanzania, siku ambayo Shujaa, Amiri Jeshi Mkuu, Mfariji mkuu wa nchi, Mkuu wa nchi, Mwenyekiti wa Ccm taifa, Mama yetu, Bibi wa wanetu, Mtanzania namba moja Opppppppp! Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania #Samia Suluhu Hassan aliamua kwa dhamira na kujiridhisha kupata chanjo ya Korona na vyombo vyake vyote vya ulinzi na usalama wa nchi.
Huko nyuma niliwahi sema Mama #Samia ni Mama na siku zote mama hawezi wapa wanae Sumu, nasema SAUTI YA VITA IMERINDIMA, NA SHUJAA WETU NAMBA MOJA RAIS #SAMIA SULUHU HASSAN AMEONESHA NJIA, Hivyo chanjo iko sahihi na kubwa tumechanjwa chanjo nyingi huko nyuma tukiwa wadogo na sasa watoto wetu wana chanjo nyingi sana, nasema kama mzungu angekuwa na nia mbaya na Afrika angetengeneza Coronavirus ya Afrika tu.
Kila mtu ana aproach yake ya kuyakabili matatizo, hiyo nayo ni Aproach ya Mama, twende Mbele tuimalize Korona.
Mwisho, Njia za kuikabili Korona ziko nyingi na njia ni njia, kuna njia ya kupeana ujasiri kuwa hakuna Korona huku wataalamu wakiwa wamejifungia ndani kusaka Suluhu njia ni nzuri kwa watu wenye umri wa Immunity nyingiii na strong, ila wale wenye umri bye bye hulambwa tu, na kuna njia ya Chanjo hii huokoa woote wenye umri bye bye na Wenye Immunity strong, #Yona Nasema Twende na Mama #Samia,
Miaka ya Tisini naa nikiwa Shule ya Msingi tulizoea katika nyimbo za mchaka mchaka tulipenda kuimba wimbo mmoja nilikuwa naupenda sana na mpaka leo bado nakumbuka.
#WIMBO
SAUTI YA VITA INAPORINDIMA, ASKARI WOOTE MATUMBO HUWA JOTO, LAKINI MASHUJAA HUWA YU TAYARI KUFA NA KUPONA APATE USHINDIIII, WATANZANIA TUMO KATIKA VITA..................OK TUUITE VITA YA KORONA.
Jana tarehe 28/07/2021 ilikuwa siku ya kusisimua kwa watanzania, siku ambayo Shujaa, Amiri Jeshi Mkuu, Mfariji mkuu wa nchi, Mkuu wa nchi, Mwenyekiti wa Ccm taifa, Mama yetu, Bibi wa wanetu, Mtanzania namba moja Opppppppp! Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania #Samia Suluhu Hassan aliamua kwa dhamira na kujiridhisha kupata chanjo ya Korona na vyombo vyake vyote vya ulinzi na usalama wa nchi.
Huko nyuma niliwahi sema Mama #Samia ni Mama na siku zote mama hawezi wapa wanae Sumu, nasema SAUTI YA VITA IMERINDIMA, NA SHUJAA WETU NAMBA MOJA RAIS #SAMIA SULUHU HASSAN AMEONESHA NJIA, Hivyo chanjo iko sahihi na kubwa tumechanjwa chanjo nyingi huko nyuma tukiwa wadogo na sasa watoto wetu wana chanjo nyingi sana, nasema kama mzungu angekuwa na nia mbaya na Afrika angetengeneza Coronavirus ya Afrika tu.
Kila mtu ana aproach yake ya kuyakabili matatizo, hiyo nayo ni Aproach ya Mama, twende Mbele tuimalize Korona.
Mwisho, Njia za kuikabili Korona ziko nyingi na njia ni njia, kuna njia ya kupeana ujasiri kuwa hakuna Korona huku wataalamu wakiwa wamejifungia ndani kusaka Suluhu njia ni nzuri kwa watu wenye umri wa Immunity nyingiii na strong, ila wale wenye umri bye bye hulambwa tu, na kuna njia ya Chanjo hii huokoa woote wenye umri bye bye na Wenye Immunity strong, #Yona Nasema Twende na Mama #Samia,