Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipoteze muda na buddle lako.Sijui kwanini nazihurumia sana bundle kwa kufuatilia hii kitu, naomba yaongelewe mambo ya maana.
Kwa hii hatua ccm ilipofikia, wangekubali tu kushindwa na kupisha sera na hoja mbadala.Hilo Ndiyo Mlikuwa Mnasema Tutege Sikio
Kazi Inaendelea.VIVA SAMIA VIVA |VIVA CCM VIVA
Usipoteze muda na buddle lako.
Hiyo ni kampeni ya chanjo, sasa wataushangaza vipi ulimwengu? Au watachanja nchi nzima siku 1Acha tuwape nafasi mkuu, hauwezi kujua wanaweza kuushangaza ulimwengu.
Hiyo ni kampeni ya chanjo, sasa wataushangaza vipi ulimwengu? Au watachanja nchi nzima siku 1
Yes we have to! We need to "build back better" and restore the long lost dream!Kwani bado tunapambana na UVIKO-19 ? Are we really serious ?
Yes we have to! We need to "build back better" and restore the long lost dream!Kwani bado tunapambana na UVIKO-19 ? Are we really serious?
Binafsi nimezima tv .Walishaanza kutapanya pesa za msaada toka kwa Mabeberu kuhusu korona, Naona wameanzisha tamasha ili kuwahadaa mabeberu kuwa pesa walizopata za IMF wanachukua hatua
Danganya toto Jinga
Sasa mbona jambo la kitaifa na la kiserikali limegeuzwa la chama
Haya mambo yanachekesha sana na yanarudisha nyuma sana hamasa na maendeleo
Meza zimewekwa bendera ya CCM na baadhi ya watu wamevaa sare za ccm
Kuna watu wakisikia neno ccm wanazima TV na kuondoka, Hawaitaji porojo na uwongo wa ccm
Unapohimiza mambo ya kitaifa kama chanjo, Kampeni za malaria, Kampeni za watu kuwa matajiri, Au kampeni za elimu yakupasa kusimamia Sera za Taifa
Watu ambao hawana chama ni wengi kuliko wana ccm au Chadema
CCM walisema tuchape kazi Corona hakuna na waliwacheka Chadema waliohimiza kuwa corona ipo na itaondoka na watu ikiwemo viongozi
Leo ccm inapiga kampeni ya chanjo ni wajinga waliopindukia na watu wasiojitambua wanaweza Sikiliza ujinga huu
Nashauri viongozi waombe radhi wananchi kwa kuwajaza upepo kuwa korona hakuna na ni kama mafua ya ndege
Humprey Polepole bado anahubiri hakuna korona na amesimama na msimamo wa ccm
Sasa Je Pesa za IMF zimetumikaje?
Mtuambie pesa mlizopata za IMF mmeajiri madaktari wangapi kama mkataba unavyotaka
CCM wanahubiri mapambano ya corona, Pathetic
CCM mlikuwa wapi mmesubiri mpaka watu wameondoka, Mlihimiza Bunge liendeleee na waliotoka bungeni wakatwe pesa
Ashajua nini maana ya ikulu hivyo juhudi lazima zifanyikeHamna la maana hapo, ni siasa tu za kujipanga na uchaguzi wa 2025.
Kikao cha ndani ya chamaCCM endeleeni na mkutano wenu huo hapo.
Kumbukeni kuwa hao mabeberu waliotoa fungu la mapambano ya covd wana mabalozi wao hapa nchini wanajua kipi kikao cha chama na ipi ni kampeini tokomeza jangaKuna utekelezaji wa ilani. Pia Rais ni Mwenyekiti wa CCM.
Sasa mabendera ya CCM yanafanya nini hapo?Suala hili ni la kitaifa ni kampeni ya maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO - 19.