Naendelea kufatilia tukio hili ambalo liko Mbashara.
Maeneo yaliyonufaika na fedha hizi ni Huduma za jamii i.e Afya, Maji na Elimu. Licha ya kuwa fedha hizi zitakwenda kuhudumia maeneo hayo matatu lakini ni matumaini yangu fedha hizi zitakwenda kuongeza mzunguko wa fedha mtaani. Tunajua ukata uliopo mtaani, hivyo kupitia shughuli za Ujenzi wa Vyumba vya madarasa, vituo vya afya, miradi ya Maji n.k iwe kupitia Ukandarasi, Uzabuni, Local Fundi fedha hizi zitakuja mtaani
Kiukweli nitumie jukwaa hili kumpongeza Mhe. Rais kuhusu mgawanyo wa fedha uliofanyika hasa maeneo ambayo zimeelekezwa.
Wahandisi, MaQS let's join hata kuwa Local Fundi kupiga hizo deal za Ujenzi