#COVID19 Rais Samia azindua Kampeni ya Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya COVID-19 Jijini Dodoma

#COVID19 Rais Samia azindua Kampeni ya Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya COVID-19 Jijini Dodoma

Kupanda ndege na kuzurura nje ya nchi ndio kujitoa? Unajua wakulima wangapi wanajitoa kukesha shambani kufanya kazi bila kuchoka tena bila pembejeo bora za kilimo alafu wakituma ada za watoto wanakatwa kodi kubwa??
Kwa hiyo ukikesha shambani ndio unatakaje? Mbona baba yako anazururaga vilabuni alifanya nini cha maans?

Mama kazurula kaleta pesa,una jingine?
 
Tumejenga HOSPITALI NYINGI ZA MIKOA NA RUFAA....je zilikuwa na ICU(sadaruki) za ukweli na zilizokamilika(well equipped)?!!!

Jibu ni hapana......

Sasa serikali sikivu chini ya mh.SSH inakwenda kujenga ICU(sadaruki) 72 nchi nzima.....

HAYA NI MAPINDUZI MAKUBWA....
HAYA NI MAPINDUZI YA KIAFYA NCHINI......

SIEMPRE JMT
SIEMPRE CHIFU MKUU HANGAYA 🙏
 
Bill Gates aliwahi kuzishauri nchi za AFRIKA NA ZINAZOENDELEA kuwekeza nguvu zao katika ELIMU YA KATI(vyuo vya ufundi)......

Na hapa Kuna TANBIHI.....

Inakuwaje TCU inatoa ITHIBATI(accreditations) kwa vyuo vya vikuu vinavyoota kama UYOGA?!!!

Hakika Serikali sikivu imeamua kumaliza VYUO VYA VETA 32.......💪👏👏👏

SIEMPRE CHIFU MKUU HANGAYA
Sio tuu vyuo vya Veta amesema hadi CDF yaani vyuo vya wananchi na kujenga vyuo 17 vya ualimu,mojawapo kipo huku niliko
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan akizindua kampeni ya maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO - 19 katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete jijini Dodoma leo 10 Oktoba 2021.​

Fuatilia matangazo hapa




Dondoo ujio wa Shilingi Trilioni 1.3 kutoka IMF.
1. Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari.
2. Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi
3. Kutengeneza madawati 462,795
4. Kumalizia vyuo vya VETA 32
5. Magari 25 ya kuchimba visima vya maji.
6. Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji.
7. Kujenga ICU 72
8. Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214
9. Mifumo ya Oxygen hospitali 82
10. Mitungi ya gesi 4,640
11. Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40.
12. Vitanda vya wagonjwa 2,700
13. Xray za kisasa 85
14. CT- Scan 29
15. MRI hospitali zote za kanda

Nasubiri comments za polepole..
 
Tumejenga HOSPITALI NYINGI ZA MIKOA NA RUFAA....je zilikuwa na ICU(sadaruki) za ukweli na zilizokamilika(well equipped)?!!!

Jibu ni hapana......

Sasa serikali sikivu chini ya mh.SSH inakwenda kujenga ICU(sadaruki) 72 nchi nzima.....

HAYA NI MAPINDUZI MAKUBWA....
HAYA NI MAPINDUZI YA KIAFYA NCHINI......

SIEMPRE JMT
SIEMPRE CHIFU MKUU HANGAYA 🙏
Nyingi ya hospital zenyewe hata hazikukamilika kwa majengo ,inamaana zitakamiloshwa na kuwekwa Vifaa vya kisasa vya uchunguzi..XY kwenye hospital za Wilaya na MRI hospital za Kanda na CT Scan hospital zote za Mikoa sio mchezo boss ,
 
Kwa hiyo nao wakikesha wanatakaje?Umegaiwa sh ngapi?
Hakuna pesa ya bure,fanya Kazi omba tenda utoe jasho ndio upate pesa..Mimi Mgao wangu ni huduma bora..

Imagine ukiwa Nyanda za Juu mkoa wowote ukitaka MRI na CT scan lazima uende Dom au Dar ,,sasa huu upuuzi unakwenda kuisha
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan akizindua kampeni ya maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO - 19 katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete jijini Dodoma leo 10 Oktoba 2021.​

Fuatilia matangazo hapa




Dondoo ujio wa Shilingi Trilioni 1.3 kutoka IMF.
1. Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari.
2. Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi
3. Kutengeneza madawati 462,795
4. Kumalizia vyuo vya VETA 32
5. Magari 25 ya kuchimba visima vya maji.
6. Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji.
7. Kujenga ICU 72
8. Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214
9. Mifumo ya Oxygen hospitali 82
10. Mitungi ya gesi 4,640
11. Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40.
12. Vitanda vya wagonjwa 2,700
13. Xray za kisasa 85
14. CT- Scan 29
15. MRI hospitali zote za kanda
Tunaangalia itakavyo kuwa.
 
Back
Top Bottom