unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,865
Walishaanza kutapanya pesa za msaada toka kwa Mabeberu kuhusu korona, Naona wameanzisha tamasha ili kuwahadaa mabeberu kuwa pesa walizopata za IMF wanachukua hatua
Danganya toto Jinga
Sasa mbona jambo la kitaifa na la kiserikali limegeuzwa la chama
Haya mambo yanachekesha sana na yanarudisha nyuma sana hamasa na maendeleo
Meza zimewekwa bendera ya CCM na baadhi ya watu wamevaa sare za ccm
Kuna watu wakisikia neno ccm wanazima TV na kuondoka, Hawaitaji porojo na uwongo wa ccm
Unapohimiza mambo ya kitaifa kama chanjo, Kampeni za malaria, Kampeni za watu kuwa matajiri, Au kampeni za elimu yakupasa kusimamia Sera za Taifa
Watu ambao hawana chama ni wengi kuliko wana ccm au Chadema
CCM walisema tuchape kazi Corona hakuna na waliwacheka Chadema waliohimiza kuwa corona ipo na itaondoka na watu ikiwemo viongozi
Leo ccm inapiga kampeni ya chanjo ni wajinga waliopindukia na watu wasiojitambua wanaweza Sikiliza ujinga huu
Nashauri viongozi waombe radhi wananchi kwa kuwajaza upepo kuwa korona hakuna na ni kama mafua ya ndege
Humprey Polepole bado anahubiri hakuna korona na amesimama na msimamo wa ccm
Sasa Je Pesa za IMF zimetumikaje?
Mtuambie pesa mlizopata za IMF mmeajiri madaktari wangapi kama mkataba unavyotaka
CCM wanahubiri mapambano ya corona, Pathetic
CCM mlikuwa wapi mmesubiri mpaka watu wameondoka, Mlihimiza Bunge liendeleee na waliotoka bungeni wakatwe pesa
Mkuu. Chama ndo kimekabidhiwa madaraka. So Sijui Shida yako nini.