#COVID19 Rais Samia azindua Kampeni ya Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya COVID-19 Jijini Dodoma

#COVID19 Rais Samia azindua Kampeni ya Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya COVID-19 Jijini Dodoma

Walishaanza kutapanya pesa za msaada toka kwa Mabeberu kuhusu korona, Naona wameanzisha tamasha ili kuwahadaa mabeberu kuwa pesa walizopata za IMF wanachukua hatua

Danganya toto Jinga


Sasa mbona jambo la kitaifa na la kiserikali limegeuzwa la chama

Haya mambo yanachekesha sana na yanarudisha nyuma sana hamasa na maendeleo

Meza zimewekwa bendera ya CCM na baadhi ya watu wamevaa sare za ccm

Kuna watu wakisikia neno ccm wanazima TV na kuondoka, Hawaitaji porojo na uwongo wa ccm

Unapohimiza mambo ya kitaifa kama chanjo, Kampeni za malaria, Kampeni za watu kuwa matajiri, Au kampeni za elimu yakupasa kusimamia Sera za Taifa

Watu ambao hawana chama ni wengi kuliko wana ccm au Chadema


CCM walisema tuchape kazi Corona hakuna na waliwacheka Chadema waliohimiza kuwa corona ipo na itaondoka na watu ikiwemo viongozi


Leo ccm inapiga kampeni ya chanjo ni wajinga waliopindukia na watu wasiojitambua wanaweza Sikiliza ujinga huu


Nashauri viongozi waombe radhi wananchi kwa kuwajaza upepo kuwa korona hakuna na ni kama mafua ya ndege


Humprey Polepole bado anahubiri hakuna korona na amesimama na msimamo wa ccm


Sasa Je Pesa za IMF zimetumikaje?

Mtuambie pesa mlizopata za IMF mmeajiri madaktari wangapi kama mkataba unavyotaka


CCM wanahubiri mapambano ya corona, Pathetic

CCM mlikuwa wapi mmesubiri mpaka watu wameondoka, Mlihimiza Bunge liendeleee na waliotoka bungeni wakatwe pesa

Mkuu. Chama ndo kimekabidhiwa madaraka. So Sijui Shida yako nini.
 
Naona Mpoto anapokea mahela tu hapa et tusisubiri Chanjo
Hamasa ya chanjo iko pale pale,hatua hizi ndizo zimetuletea Neema ya mapesa,watalii wameanza kurudi na wawekezaji wanamiminika kwa sababu usalama wa Afya zao sasa uko guaranteed.
 
Mama anaupiga mwingi achana na hao wapingaji was Kila kitu na wale sukuma gang [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]litakufa jitu kwa maendeleo ya nchi yake
 
Mkuu sh Til 1.3 less bil 130 ya Zanzibar unabakia na karibu 1.17 T,,hapa pesa za ufuatiliaji na utawala ni hizo bil 170 ,kwa hiyo Til.1 ni bil.1,000 ni pesa mingi Sana.

Kwenye afya ni bil 460,Maji bil.102,Elimu bil.200 hizo zingine huko kuliko Baki kwa hiyo pesa inatosha Sana mkuu.
Ndio Mkuu naona zitatosha wasiwasi wangu mkubwa ulikuwa kwenye madarasa 15,000. Ila mahesabu naona yamekubali maana Kwa wastani wa Darasa Moja wa Tshs 20,000,000/= itakuwa jumla Tshs 300,000,000,000/=

Wasimamizi wakasimamie Vyema.
 
Ndio Mkuu naona zitatosha wasiwasi wangu mkubwa ulikuwa kwenye madarasa 15,000. Ila mahesabu naona yamekubali maana Kwa wastani wa Darasa Moja wa Tshs 20,000,000/= itakuwa jumla Tshs 300,000,000,000/=

Wasimamizi wakasimamie Vyema.
Tena sio 15,000 ni 18,000 kuna madarasa 3,000 ya shule shikizi pia.

Na madarasa mengi ni ya kukamilisha maboma ambayo wananchi waliyaanzisha.

Lakini pia serikali ni Janja Janja humo pia kuna fedha za wafadhili kama Sida via P4R ,Sweden ilitoa bil.196 huwa ni maalum kwa ajili ya madarasa mapya,mabweni,ofisi,nyumba za walimu na mabwalo ya shule.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan akizindua kampeni ya maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO - 19 katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete jijini Dodoma leo 10 Oktoba 2021.​

Fuatilia matangazo hapa




Dondoo ujio wa Shilingi Trilioni 1.3 kutoka IMF.
1. Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari.
2. Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi
3. Kutengeneza madawati 462,795
4. Kumalizia vyuo vya VETA 32
5. Magari 25 ya kuchimba visima vya maji.
6. Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji.
7. Kujenga ICU 72
8. Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214
9. Mifumo ya Oxygen hospitali 82
10. Mitungi ya gesi 4,640
11. Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40.
12. Vitanda vya wagonjwa 2,700
13. Xray za kisasa 85
14. CT- Scan 29
15. MRI hospitali zote za kanda

Hakuna j
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan akizindua kampeni ya maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO - 19 katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete jijini Dodoma leo 10 Oktoba 2021.​

Fuatilia matangazo hapa




Dondoo ujio wa Shilingi Trilioni 1.3 kutoka IMF.
1. Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari.
2. Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi
3. Kutengeneza madawati 462,795
4. Kumalizia vyuo vya VETA 32
5. Magari 25 ya kuchimba visima vya maji.
6. Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji.
7. Kujenga ICU 72
8. Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214
9. Mifumo ya Oxygen hospitali 82
10. Mitungi ya gesi 4,640
11. Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40.
12. Vitanda vya wagonjwa 2,700
13. Xray za kisasa 85
14. CT- Scan 29
15. MRI hospitali zote za kanda

Hakuna jipya hapo tunataka katiba mpya
 
Imebaki miezi 3 shule zifunguliwe, je, hayo madarasa yanaanza kujengwa lini sasa?


Ilikuwa ni mwanzoni mwa mwaka huu (2021), serikali ilitangaza kwamba, tumepata mkopo kutoka benki ya dunia kwa ajili ya kujenga shule mpya 1000 nchi nzima. Je, huko ulipo zimeishajengwa?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Imebaki miezi 3 shule zifunguliwe, je, hayo madarasa yanaanza kujengwa lini sasa?


Ilikuwa ni mwanzoni mwa mwaka huu (2021), serikali ilitangaza kwamba, tumepata mkopo kutoka benki ya dunia kwa ajili ya kujenga shule mpya 1000 nchi nzima. Je, huko ulipo zimeishajengwa?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huo ni uongo,madarasa hata wiki 2 yanakamilika ,miezi yote hiyo? Shule hadi zije kufungua katikati ya januari ni leo?
 
Bill Gates aliwahi kuzishauri nchi za AFRIKA NA ZINAZOENDELEA kuwekeza nguvu zao katika ELIMU YA KATI(vyuo vya ufundi)......

Na hapa Kuna TANBIHI.....

Inakuwaje TCU inatoa ITHIBATI(accreditations) kwa vyuo vya vikuu vinavyoota kama UYOGA?!!!

Hakika Serikali sikivu imeamua kumaliza VYUO VYA VETA 32.......💪👏👏👏

SIEMPRE CHIFU MKUU HANGAYA
 
Mkuu tuwe na nidhamu kwa viongozi wetu. Wanajitoa na kufanya kazi bila kuchoka ili taifa liwe na maendeleo endelevu na leo Rais Samia anazindua kampeni ya maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO - 19.
Kupanda ndege na kuzurura nje ya nchi ndio kujitoa? Unajua wakulima wangapi wanajitoa kukesha shambani kufanya kazi bila kuchoka tena bila pembejeo bora za kilimo alafu wakituma ada za watoto wanakatwa kodi kubwa??
 
Back
Top Bottom