#COVID19 Rais Samia azindua Kampeni ya Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya COVID-19 Jijini Dodoma

CT scan moja inauzwa dukani dola za kimarekani 1,000,000-7,000,000.....

Leo serikali yetu sikivu inatuletea CT SCAN 72.......

Iko hivi.......

Kila siku kunatokea ajali za PIKIPIKI-BODABODA........vijana wenzetu wanavunjika MIKONO NA MIGUU...mbaya zaidi MAJERAHA VICHWANI(head injuries)....

Sasa unampeleka majeruhi mwenye "HEAD INJURY" na kuambiwa hawana CT-SCAN mpaka MKOANI....😳😳😳

Haya ni MAPINDUZI MAKUBWA 💪🙏👏👏👊👊😍

SIEMPRE JMT
SIEMPRE CCM
 
Hakuna pesa ya bure,fanya Kazi omba tenda utoe jasho ndio upate pesa..Mimi Mgao wangu ni huduma bora..

Imagine ukiwa Nyanda za Juu mkoa wowote ukitaka MRI na CT scan lazima uende Dom au Dar ,,sasa huu upuuzi unakwenda kuisha
😍
 
Bila kusahau centers za kufanya communication Ili kusaidiana kusoma vipimo in case hakuna wataalamu wa ku interprete
 
Nice, lakini ungeinvest kwenye kilimo utoe ajira kwa graduates.
Kuna mipango ya mda mfupi,Kati,dharura na mda mrefu..

Tija ya kuanza kuwekeza kwenye kilimo bila kujiandaa ni sawa na kukurupuka na kupoteza pesa.

Afya kwanza ndio msingi wa vyote,kote huko mama atafika ila kwa sasa tuanze na afya kwanza
 
Kuna mipango ya mda mfupi,Kati,dharura na mda mrefu..

Tija ya kuanza kuwekeza kwenye kilimo bila kujiandaa ni sawa na kukurupuka na kupoteza pesa.

Afya kwanza ndio msingi wa vyote,kote huko mama atafika ila kwa sasa tuanze na afya kwanza
mnhh kama kaweza kujiandaa kwa hili why not kilimo?
 
Bora hata angepeleka sasa hakuna hata hospital alikamilisha zaidi ya kujijengea mahekalu na airport awe anashuka ..

Eti alijenga mahakama kubwa,TRA kubwa,Tanesco kubwa na upuuzi mwingine huku watu hawana maji wala shule vituo vya afya vya kutosha
Mungu fundi bhanaa..
 
Hongera Sana mama,.ombi langu Mimi ni kua,kwa kua mpango ni endelevu basi usiishie tu kwenye sekta ya afya ,mwakani wawafikie na wakulima pia.

Kila mtanzania afaidi keki ya taifa
 
Kama umewahi kufanya kazi taasisi za kimataifa
Inauguration ni kitu kinachopewa kipaumbeke na huwa na bajeti yake
Kinachofanyika ni public advocacy ambacho ni kitu muhimu sana
Kila activity huwa na budget cost kwaio wako ndani ya bajeti
Siyo kufanyia vikao vya chama kama wafanyavyo.
 
Inapelekea huu mkutano wa Leo uzinduzi wa kampeni ya maendeleo kwa ustawi wa taifa na mapambano dhidi ya uviko 19 umetumia fedha nyingi sana. Nikifuatilia utangulizi wake utangamua Hilo kwa idadi kubwa ya waalikwa
Njia ya upigaji hiyo
 
Hivi kweli cccm wanadhani watanzania vyote vichwa vyetu ni urembo tu si vya kufikiri? Punguzeni huo ujinga wenu japo kdg jamani.
Waache waendelee kujidanganya siku watastuka wapo nje ya jukwaa
 
Kama samia ataweza geuza huu mkopo wa imf wa kulazimisha kuwafaidisha mabeberu kua mkopo wa faida kwa maendeleo atakua ameepa kikombe cha uchungu alichoshindwa yesu.
Iko hivi. Imf ni wakopeshaji kwa faida kwa hivyo ni biashara. Makampuni ya magharibu wana bidhaa wameshajipanga WHO wanakwambia lazima ununue na wewe huna pesa. IMF wanakwambia tutakukopesha uende kununua pale ulaya/marekani. Bidhaa hizo wala sio lazima kwa mtazamo wako. Kama hununui utakutana na vikwazo hivi na vile. Unakopa hela zinarudi ulaya nchi inabaki na deni. Nchini kuna vigogo na wafanya biashara na wao wanafaidika kupiga hio hela ya mkopo. ndio mchezo ulivyo😂😂🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…