Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Ni kweli mkuu na hakuna siku moja tumeona mtu amelalamika kuonewa personal na Chalamila. Lakin watu wanaleta ujuaji wao wa kutaka kila maamuzi ya Chalamila yamfurahishe kila mtu.
Bora charamila,ndy anaweza kuwa na mapungufu lkn huwezi sikia, akiwavamia wafanyabiashara usiku wa manane au kuwapora watu fedha
Ova