Rais Samia: Bei ya mafuta Tanzania ni rahisi kuliko Marekani

Rais Samia: Bei ya mafuta Tanzania ni rahisi kuliko Marekani

Hivi kuna watu wanamshauri huyu mama na wanalipwa mshahara halali?
Kwanini wasimshauri asijibu vitu vilivyo nje ya uwezo wake kiuelewa?
Kipato cha mmarekani na kima cha chini cha mmarekani au uwezo wake wa kufanya manunuzi vinalingana na wa mtanzania?
Uchumi wa Tanzania unalingana na wa Marekani?

Muuguzi Marekani na Tanzania wanalipwa kiasi gani?
Mfanya usafi vyooni kwenye mall za Marekani na wa Mlimani City Tanzania ( i.e. janitors) wanalipwa kiasi gani kwa mwezi au kwa saa?
Hii ni kama mfanyakazi anataka ajilinganishe na mwajiri wake kwenye uwezo wa matumizi.
Sisi watu wa kupokea misaada ile ya kwa hisani ya watu wa Marekani tunataka kujilinganisha na mfadhili wetu??!!!!!!

Huyu mama aliajiriwa vipi taasisi ile ya kimataifa kwa uelewa wake huu wa mambo ya kifedha au kiuchumi?
Aliongoza vipi bajeti na mipango ya matumizi ya taaasisi alizo hudumia kama kiongozi?

Heri kukaa kimya kuliko kuongea na kuwajulisha watu uwezo wako wa kuchanganua mambo..
 
Wa kulaumiwa Ni Nyerere...kwanini hakuwapa CCM utamaduni wa kuogopa sanduku la Kura?
Watu wengine mnavyo viongea hata hamuelewi,msomege someone hata historia ya vyama vingi,kama Nyerere angefuata utaratibu wa sanduku la kura leo vyama vingi visingekuwepo, aliye force vyama vingi ni Nyerere.
 
Yes. Huwezi kupuuza Uhuru na haki vilivyotamaliki sasa ukalinganisha na wakati wa shetani.

Of course hata mm natania tu. 2025 mama lazima apigwe mitano Tena.

Haya mafuta ni suala la muda tu. Halafu siyo kosa lake
Wewe ni takataka tu huna la kumfanya!

Si wewe unakata viuno humu kwamba unapumua baada ya kuonewa sana kwa miaka 5?
ku
 
Princess: hawa watu wanaandamana wanataka nini?
Msaidizi: wanalalamika bei ya mkate imepanda.
Princess: Sasa kama mkate umepanda bei, si wanunue cake.

Ndio bi tozo she is either out of touch na maisha ya mtanzania or highly ignorant.

Yaani unafanisha gharama za maisha ya nchi yenye gdp per capita ya $63000+ na nchi yenye gdp $1000.
 
Sidhani kama kauli tu zinaweza kumaliza mtu yeyote kisiasa nchini Tanzania. Haya yote yatasahaulika haraka sana
 
Huyu Rais huyu nahisi kuna kitu hakiko sawa....
So what?...yaani hii ndio justification..aisee
Ok yeye anasaidiaje katika hili?....
Kuwa kiongozi sio lelemama....
Hatari sana

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Kule Arusha alikuja na style mpya ya kupima kiwango cha umaskini, anaheshabu matunda wanayokula wamang'ati!
 
Huyu Mama toka aingie madarakani hajawai kua mtetezi wananchi akisikia malalamiko ya wananchi uwa anakuja na kauli za kukandamiza tu wananchi wake...
 
Yes. Huwezi kupuuza Uhuru na haki vilivyotamaliki sasa ukalinganisha na wakati wa shetani.

Of course hata mm natania tu. 2025 mama lazima apigwe mitano Tena.

Haya mafuta ni suala la muda tu. Halafu siyo kosa lake

ku
Ndio maana nakuita takataka
 
Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kua bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.

Rais anasema juzi alikua Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.

Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.

Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kua watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.

Kwamba umeme unakatika ovyo New York! Labda kama tunaiita Mbagala New York.

Vv
 
Huyu mama ashauriwe ili awe ananyamaza. Vinginevyo 2025 hatoamini macho yake
Huna uwezo wa kumtoa mama samia madarakani .....


Hata CCM wawekee kopo harafu chadema waweke Tundu lisu basi kopo linachaguliwa na kuwa raisi ...wakumtoa madarakani samia ni CCM yenyewe na anaingia CCM Tena [emoji23]
 
Wastani wa kipato cha Mtanzania mmoja kwa mwezi 500K na litre ya mafuta ni Tzs 3,184 wakati wastani wa kipato cha Mmarekani wa hali ya chini ni 11M kwa mwezi wakati gallon ya mafuta ambayo ni sawa na litre 3.4 ni USD 5.

Sasa hapo nani mwenye nafuu?
Petrol/ Gas ni 3.95 per Gallon mpaka 4.2 per Gallon. Diesel ndio $5 per gallon.
 
Haya ndo madhara ya royal tour, kaenda USA kuulizia bei ya mafuta karudi kafikia kupandisha.

Amesahau kuulizia mishahara ya watumishi wa USA ili nayo ipande kwa watumishi wa Tz?😳

Huyu mama ni tatizo kwa maisha yetu, kuna muda wanaodai katiba mpya wako sahihi sana
 
Back
Top Bottom