Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Unaonaje jinsi unavyoinjoi baada ya dikteta wako kufariki?Kuna mahali tumekosea kama taifa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaonaje jinsi unavyoinjoi baada ya dikteta wako kufariki?Kuna mahali tumekosea kama taifa!
Tuwasamehe bure, fikra zao zimekomea hapo, ndicho kiwango cha ukomo waujinga wetu. Alifanikiwa kuwafungia ndani na kuwa mwonaji wao, hawakuona kama hakuona, hawakujua kama yeye hakujua. Sasa mwonaji kafa, nao wamekufa maana hawaoni wa hawana walijualo, hasara kuliko aliyekufa akazikwa kwani huyo hali wala hatumii huduma yoyote ya kodi zetu.Hapo ndo mnakosea kumleta Magufuli wakati na yeye alikuwa Msanii
Wewe ni takataka tu huna la kumfanya!Huyu mama ashauriwe ili awe ananyamaza. Vinginevyo 2025 hatoamini macho yake
Wa kulaumiwa Ni Nyerere...kwanini hakuwapa CCM utamaduni wa kuogopa sanduku la Kura?Kuna mahali tumekosea kama taifa!
Mama anawakomesha mataga na sukuma gang, huku akiwafuta machozi machadema na zitto na wakati huohuo wakipumua baada ya kuonewa sana kwa miaka 5Wastani wa kipato cha Mtanzania mmoja kwa mwezi 500K na litre ya mafuta ni Tzs 3,184 wakati wastani wa kipato cha Mmarekani wa hali ya chini ni 11M kwa mwezi wakati gallon ya mafuta ambayo ni sawa na litre 3.4 ni USD 5.
Sasa hapo nani mwenye nafuu?
Mama anawakomesha sukuma gang na marehemu huku akiwafuta nachozi machadema na zitto na wakati huohuo wakipumua baada ya kubanwa sana kwa miaka 5Mimi nasema kazi iendelee. Crimea anafurahi sana akisikia kauli kama hizi toka kwa mama. Utadhani kwao siyo Bwanga
tulikubaliana tatizo lilikuwa jpm.au umesahau.Kuna mahali tumekosea kama taifa!
Upo vizuri kuliko wao kwa vipi?Of course ni magumu ukiacha kwenye upatikanaji wa huduma za afya ila kwenye chakula na malazi tuko vizuri kuliko wao.
Alikua muuaji wa kweli,Kumbe Viongozi wetu wanaangalia Mataifa makubwa alafu wanatupimia uwezo sisi wananchi !!!!!
Kweli mwenye kushiba hamkumbuki mwenye njaa Magufuli lala salama baba. Wewe ulikua Mzalendo wa kweli.
Itakuwa ya Sundrop mkuuGaloni ipi hiyo yenye lita 3.4, mkuu Extrovert'!
Acha ufala ntaanza kupuuza, statement uliyoikoti hujaona nazungumzia gharama za chakula na malazi?Upo vizuri kuliko wao kwa vipi?
Mwendelezo ule ule wa ujinga.
kama magu alikuwa msanii huyu atakuwa doctor.Hapo ndo mnakosea kumleta Magufuli wakati na yeye alikuwa Msanii
huyo jamaa ni chawa pro maxUpo vizuri kuliko wao kwa vipi?
Mwendelezo ule ule wa ujinga.
Bado kwa hilo unamtetea mwenyekiti wa CCMAcha ufala ntaanza kupuuza, statement uliyoikoti hujaona nazungumzia gharama za chakula na malazi?
Alimuua nani?Alikua muuaji wa kweli,