Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale ndio niliona mama uwezo wake wa akili ni mdogo sana.Vitu vya facts huwa anapishana navyo Sana. Kama Jana alikua anakataa Tanzania hatuishi kwa dola moja, Sasa sababu alizotoa unaweza zimia.
Huwa wanatupima pale tu wanapotaka ku-justify mambo yao ila kuna issue ukijaribu kulinganisha wanakuja na jina lao lililozoeka la hao ni mabeberu.Kumbe Viongozi wetu wanaangalia Mataifa makubwa alafu wanatupimia uwezo sisi wananchi !!!!!
Kweli mwenye kushiba hamkumbuki mwenye njaa Magufuli lala salama baba. Wewe ulikua Mzalendo wa kweli.
Mimi nimeomba maneno halisi aliyoyasema huyo Rais, mpaka sasa sijayaona.Hiyo ni per gallon. Na ndio kilimchanganya mama
MAMA Kaupiga Mwingi mpka umetoka Nje...Mama kwingine credit zinapungua ujue
Kwahio nikusaidiaje?
Huwezi kupewa, tatizo ni group of haters.Mimi nimeomba maneno halisi aliyoyasema huyo Rais, mpaka sasa sijayaona.
Tido alipokuwa anamhoji alisema aliwaongezea wafanyakazi mshahara mwaka Jana kimya kimya-sasa najiuliza ni wafanyakazi wapi hao labda huko Zanzibar.Chifu Hangaya anafahamu mshahara wa kima chini Marekani?
HahahaaaaaaRais Samia Bei ya mafuta itamfanya akimbie nchi
Inabidi Tufanye Maombi Kama Taifa.Vitu vya facts huwa anapishana navyo Sana. Kama Jana alikua anakataa Tanzania hatuishi kwa dola moja, Sasa sababu alizotoa unaweza zimia.
Aseee watu mna matusi ya rejareja,nimecheka sana.Mtakuwa mnamsingizia Rais hawezi ongea hivyo
Yani alinganishe bei ya Mafuta ya marekani na hapa bila kuoanisha uchumi wa hizi pande mbili?
Siamini. Kama ni kweli ametamka hili basi anapaswa kuwa mama wa nyumbani na si Rais wa nchi
Na hata akiwa mama wa nyumbani lazima awe Single mother.
Kwanza mafuta ya USA ni clear kuliko haya ya bongoAseee watu mna matusi ya rejareja,nimecheka sana.
Huu ni uongo mkuu,azimio la Zanzibar lilifuta ujamaa ndio maana kuna sektetariati ya maadili huwa Wana declare mali zao ila hawazuiwi kufanya biashara..Hapo kwa viongozi kufanya biashara katiba yetu hairuhusu
Hapa tunazungumzia mafuta brother,solution zipo kibao katika tozo zinazotozwa katika mafuta inabidi zinginze waziondoe kushusha gharama za mafuta.Yeye kama kiongozi inabidi atafute maeneo mengine ya kupata mapato ya Serikali baada ya kuondo hizo tozo katika mafuta,na ni bora uongeze kodi katika bidhaa au huduma ambazo tuna comparative advantage.Utatuzi gani unaoutaka wewe? Kwani kuendesha Nchi ni ishu ya mafuta pekee? Hilo la mafuta lipo Tanzania tuu?
Wewe mwenye maarifa tupe utatuzi.
Weka hapa solution sio blaa blaaHapa tunazungumzia mafuta brother,solution zipo kibao katika tozo zinazotozwa katika mafuta inabidi zinginze waziondoe kushusha gharama za mafuta.Yeye kama kiongozi inabidi atafute maeneo mengine ya kupata mapato ya Serikali baada ya kuondo hizo tozo katika mafuta,na ni bora uongeze kodi katika bidhaa au huduma ambazo tuna comparative advantage.
Malalamiko haya yaote ni kwa kuwa uchumi wa Wananchi wengi ni mdogo kuliko uwezo wao wa kununua-kwa kuongeza gharama za mafuta juu unaongeza bei za bidhaa na huduma na mwisho unashusha uzalishaji kabisa.