Rais Samia: Bei ya mafuta Tanzania ni rahisi kuliko Marekani

Rais Samia: Bei ya mafuta Tanzania ni rahisi kuliko Marekani

Rais mstafu na Mwanae wanamiliki vituo vya mafuta kila Mkoa-unategemea nini?
 
Marekani ipi anayoongelea?

Amekaa siku 14 tu kuanzia bill za hotel, vyakula , usafiri na medical check up zimelipwa na fedha za walipa kodi huku yeye hajatoa hata shilling 100 halafu anafanya poor comparison?

Wafuasi wa Magufuli hamna cha kujitetea kwenye hili blunders hizi ni muendelezo wa zao lenu imebadilika jinsia tu.
 
Marekani wana uchumi mkubwa kwakua mafuta ndio bidhaa ambayo ni bei rahisi kabisa na wamefanikiwa kuifanya ibakie hivyo kwa muda mrefu.

Marekani akiona kaishiwa mafuta yupo tayari kuingia vitani popote mradi apate mafuta ya kumtosheleza.

Ana reserves za mafuta kwa miaka kadhaa.

Ana maeneo ya kuchimba mafuta ambayo hajawahi kuyagusa kabisa.

Mafuta ndio yanayoendesha uchumi wa Marekani na ndio kama damu kwenye mwili wa mwanadamu.
Kwa Mara ya kwanza nakupa like Mkuu,kuna mdau nimetoka kumwambia kuongeza bei kwenye mafuta ni kuwa uchumi wa Nchi-kama Serikali inataka mapato ya kufanya maendeleo itafute sehemu zingine hii ya kutaka msereeeko kupitia mafuta uchumi utaporomoka vibaya mno.

Tatizo washauri wake akina Mwigulu na January wenyewe wanaangali kupata hela ya uhakika kwa muda pasipo kuangalia madhara ya badaye.
 
Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kuwa bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.

Rais anasema juzi alikuwa Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.

Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.

Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kuwa watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.


Daah! Hii ni kauli ya anayepaswa kuwa "Mfariji Mkuu wa Wananchi"?
 
Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kuwa bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.

Rais anasema juzi alikuwa Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.

Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.

Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kuwa watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.


Kwa hiyo huyu mama analiganisha uchumi wa marekani na wa hapa bongolala, kama huu ndo aina ya ushauri anaotoa madelu na wataalamu wake wa uchumi basi safari hii tunalo.....
 
Serikali inayoongozwa na CCM kila kukicha inachukiwa sana na wananchi kutokana na kupanda kwa gharama ya maisha.
 
Huyu mama huyu !!!! ??????

Nimeishi UK, kule kila kitu gharama nguo, viatu kodi ya pango n.k. , Ila kipato changu nilichokuwa napata kule kwa wiki kwa kazi hio huku hata kwa mwaka huenda nisingepata..., (yaani hapo naongelea unskilled labor bado sijaongelea professional jobs)

Hivi haya anayasema kama siasa, kukosa uelewa au anatudharau (insulting our intelligence)
Ni kweli huwezi kwenda filling station ukacompare bei ya mafuta ya developed country na za kwetu na juzi nilimsikia akicompare bei ya tunda kwa wabarabaig na supermarket ya New York. Japo ni maisha yamepanda .niko UK mwezi wa pili nililipa bill ya gas £ 45 kwa sasa nalipa £90 na hapo ni baada ya kulalamika nilikuwa nimekadiriwa £150 kama laki 4 na kitu .
 
Na pia mwandishi kwa nn asingemhoji juu ya kipato kati TZ na USA sometime naonaga wanahabari chenga tu

Ajira ngapi zitapotezwa kwa pesa ya mafuta ya kula, ya gari kupanda, mfumuko wa bei machinga kufukuzwa, bei za mboleo pembejeo, masoko kuchomwa moto.

Biaashara gani zimekufa, wangapi watashindwa kwenda kazini. Wangapi watakufa kwa hizi sera?
 
Kwa hiyo Marekani ni sawa na Tanzania?? Kule kodi ya nyumba kwa mwezi Tshs.1.8m kabla ya Vita ndio tunalinganishwa nayo?

Kwa hiyo akiwa Marekani alikuwa anachunguza bei ya mafuta tu? Hakuangalia pato la mtanzania ukilinganisha na mmarekani kwa mwaka?Juzi kashindwa kuongeza mishahara ya watumishi, mafuta yanapanda bei na gharama za maisha lazima ziwe juu.kuwaumiza watumishi ambao kwa miaka sita hawajaongezwa mishahara kabisa , leo anajibu kirahisi bei ya huku ni ndogo ukilinganisha na Marekani.

Wakati mwingine mama analazimisha watu wamkumbuke Magufuli kwa kweli. Tanzania haikuumizwa na Corona Kama nchi jirani zinazotuzunguka ukiiondoa Burundi,kwa nini asijilinganishe nao hao wa level yetu?
 
Huwezi kupewa, tatizo ni group of haters.

Mama ana exposure ya kutosha, amepiga shule UK halafu kuna wachamba wima wanaomchukulia powa kuzani hana uelewa wa mambo ya first world.
Wewe shoga hii hapa.
 
REASONING ABILITY yake ndo inaniacha na maswali, juzi tu hapa alisema hata MAREKANI umeme unakatika kwahiyo Wadanganyika tusimsumbe Waziri Makamba...
Mtu mwenye mentality kama hii hata dogo akiharibu "watamwambia" kweli? Au ndio watu wanaamua kupiga kimya kuona matokeo?
 
Back
Top Bottom