Rais Samia: Bei ya mafuta Tanzania ni rahisi kuliko Marekani

Rais Samia: Bei ya mafuta Tanzania ni rahisi kuliko Marekani

Wewe ni Nani? Sukuma gang?

Fuvu lako limebeba tope badala ya ubongo. Unawezaje kumlaumu Samia kwa kupanda bei ya mafuta? Kwani bei za mafuta kupanda ni sera ya Samia? Tuneieni akili basi
Wewe ni takataka
 
Kwa akili yako Nyerere angeendelea ungesema ni dikteta, huyo Mwinyi alificha aibu ipi? au ndio kila kitu ruksa?

Wewe umesema Nyerere aliruhusu vyama vingi sababu ya misaada.

Ila Nyerere mpaka anakufa pamoja na kuruhusu vyama vingi,msimamo wake ulikuwa ni ujamaa na kujitegemea na mpaka anakufa still bado aliumia watu kuliacha azimio la Arusha so Nyerere hakuamini kama misaada itakuwa soln ya maendeleo ya Tanzania.
Nyerere aliumia ujamaa kufa...nakubali

ila Ni Sawa Na uwe Na mchumba unampenda Sana halafu uje Ugundue Kuwa ana ukimwi...

Ukimuacha, utaumia kumuacha lakini unamuacha kiroho Safi maana afya Ni muhimu Kuliko mapenzi.
Na Nyerere aliona misaada Ina umuhimu Kuliko mapenzi yake Na ujamaa.

Fuatilia vizuri data zako, utagundua Kuwa mabepari kupitia IMF Na world Bank ndio walituletea vyama vingi Na sio Nyerere...

Halafu soma sera Za Nyerere Za ujamaa, Kuna democrasia kwenye ujamaa?

This is an open secret, every sane person knows it, but everyone's pretending things didn't go down like that
 
USA mafuta kipimo chao kwenye pump ni gallone ambayo ni lita 4 na ushee na unajiwekea mwenye hakuna pump attendants sehemu nyingi za gas stations zao. Kima cha chini mshahara $10 kwa saa na working day ni masaa 8 na baada ya hayo masaa 8 ni over time unalipwa mara 1.5 kila saa linalozidi ni $15 kwa saa la ziada kima cha chini. Tujilinganishe na Congo, Uganda and the likes ndio wenzetu hao
 
Sio kweli. Marekani Mafuta ni nafuu kuliko Tanzania
Hapana ki bei USA, bei ya mafuta ipo juu, inawezekana kwa bei ya lita moja yao , hapa unapata kama lita 1.5, lakini kwa pato lao la mtu mmoja mmoja, ni nafuu kuliko ya hapa kwetu, hayo ni mambo ya kiuchumi!!huwezi tu ukasema eti mbona bei ya kitu fulani ipo juu zaidi huko kuliko kwetu, bila kuangalia factors nyingine.
 
Nakumbusha tu pia kuwa, kibarua wa marekani anaweza kulipwa shs za kitanzania 10,000 - 20,000 hivi kwa lisaa; hii inamaanisha; anaweza kupata kipato cha mshahara wa chini wa Mtanzania wa mwezi ndani ya siku mbili hadi tatu hivi
 
Inasikitisha kusikia kauli kama hizi kutoka kwa Raise wa nchi
 
Huyu bibi, aende TU akaishi huko Marekani maana imemjaa akilini mwake! Hovyo kabisa!
Tunaongelea gharama za maisha kupanda tangu awe rais, anaongelea Marekani [emoji848]!
Shangaa na wewe, marekani marekani tushachoka
 
Hapa ndio Huwa nawadharau waandishi wa Habari wa Kibongo. Anapewa Jibu kama Hilo Naye anacheka cheka na Kulidhia Kweli kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Poor Poor, Wanahabari wetu kudadisi na Kuhoji hawawezi kabisaaaa, Huenda hata Maswali alipangiwa Ya Kuuliza.






Maswali ya waandishi Wengine. Kesho wana uchaguzi wao UK, ataadhibiwa. Pia atakumbusha siku zake zote.
 
Kwa data za tarehe 2 May 2022 USA ni ya 62 kwa unafuu wa bei ya petroli, Tanzania ni ya 90.

Hivyo, Marekani bei ya mafuta ni nafuu kuliko Tanzania.

Rais kadanganya.



 
Tulishasema huyu Bibi uwezo mdogo mtafutieni kazi nyingne ya kufanya. Urais wa TZ hauwezi.
 
Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kuwa bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.

Rais anasema juzi alikuwa Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.

Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.

Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kuwa watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.




Brainless Think Tank. No Comments
 
Back
Top Bottom