The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
- Thread starter
- #361
Huyu ni bogus kabisa zero brain.Huyu Rais mshamba sana hajui kwamba crude oil si mafuta ya kula!
Freaking idiot.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni bogus kabisa zero brain.Huyu Rais mshamba sana hajui kwamba crude oil si mafuta ya kula!
Freaking idiot.
Katiba ya JMT unamlinda na kumtetea kwa 💯% . Ni aibu tupu!Huyu ni raisi takataka zaiidi kuwahi kuongoza nchi Kama Tanzania
Mafuta wanatoa Iraq kuweit Libya na nchi za falme za kiarab. Hapo ndiyo tutamkumbuka GaddafiBado average ni zaidi ya 2400 per litres tena Hawa Wana mafuta yao ,je sisi tunaoagiza kila kitu?
Na hapo imepandaAlichosema Samia kwanza sio ukweli.
Kapita barabarani Washington DC akaona vibao vya bei ya mafuta dola 4.20. Ambayo ni 9,600/=, akalinganisha na yetu 3,150/=
Samia hakujua kwamba hiyo ni bei ya galoni, mafuta Marekani wanauza kwa galoni
Na pia Samia hajui galoni moja inalingana na lita ngapi, hajui!
Kama Marekani wangeuziwa kwa lita kama sisi bei yao ingekuwa
$4.2/gallon ÷ 3.8 liters/gallon x 2,300TZS/$ = 2,500 Tsh kwa lita
Samia alinganishe 2,500/= kwa lita Marekani v/s 3,150/= kwa lita Tanzania
Bei ya Marekani is way cheaper!
Ni uwongo mkubwa kudai kuwa US bei ya mafuta ni kubwa kuliko Tanzania.Alikua anasema bei ya mafuta hata Marekani ni kubwa na ni kubwa kuliko Tanzania
Bado miaka michache tu mama atakuwa bilionea wa mabilionea huyu mama ni fisadi ubwaaa kabisa anasomba pesa serikalini za kutisha yeye na familia yakeHuyu mama anaishi maisha mazuri sana hawezi kufikiri juu ya maisha ya wa Tanzania. Apandishe basi bei iwe kama ya wamarekani.
Waandishi wengi wa Tanzania, ni watu wenye upeo mdogo sana.Hapa ndio Huwa nawadharau waandishi wa Habari wa Kibongo. Anapewa Jibu kama Hilo Naye anacheka cheka na Kulidhia Kweli kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Poor Poor, Wanahabari wetu kudadisi na Kuhoji hawawezi kabisaaaa, Huenda hata Maswali alipangiwa Ya Kuuliza.
Acha hizo, hivi mnashindwa vipi hata tu kugoogle kuangalia bei huko marekani?Hapana ki bei USA, bei ya mafuta ipo juu, inawezekana kwa bei ya lita moja yao , hapa unapata kama lita 1.5, lakini kwa pato lao la mtu mmoja mmoja, ni nafuu kuliko ya hapa kwetu, hayo ni mambo ya kiuchumi!!huwezi tu ukasema eti mbona bei ya kitu fulani ipo juu zaidi huko kuliko kwetu, bila kuangalia factors nyingine.
Hii mbona rahisi tu hata ww kujua? Mnashindwa vipi kweli kutafuta taarifa Kama hizo ambazo ni rahisi tu kupata hata kwa Google?Kwa bei za lini
Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kuwa bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.
Rais anasema juzi alikuwa Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.
Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.
Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kuwa watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.
Je mshahara kima cha chini marekani kwa masaa 8 sh. Ngapi? Kisha tufanye ulinganishoRais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kuwa bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.
Rais anasema juzi alikuwa Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.
Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.
Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kuwa watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.