smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,098
Mama hajakosea mnaropoka bure tu!! Bei ya Petrol USA iko juu!! kulinganisha na gharama za maisha yao huko!! hata wafanyakazi wa huko wakipokea Billlion moja kila mwezi!! lkn kuna mahesabu ya kiuchumi unafanya unapata hiyo Hesabu!!!
Msiseme hovyo km watu hamjaenda shule!...... USA unapokea let say $5000,000/ kwa mwezi utakuta saving yako ni sifuri!!! yooote imeishia kwa chakula na Nauri!! Mtanzania anapokea laki tano tu lkn savings yake ni zaidi ya Nusu ya Mshahara!!
kulingana na maisha ya Bongo hapo Mtanzania atajenga Nyumba yake nzuri tu!! ataishi na familia!! lkn huyu mfanya kazi wa USA ata ishia kula tuuu!! mpaka anakufa!!! ndo tofauti iliyopo tukiwaaambia muelewega!
Msiseme hovyo km watu hamjaenda shule!...... USA unapokea let say $5000,000/ kwa mwezi utakuta saving yako ni sifuri!!! yooote imeishia kwa chakula na Nauri!! Mtanzania anapokea laki tano tu lkn savings yake ni zaidi ya Nusu ya Mshahara!!
kulingana na maisha ya Bongo hapo Mtanzania atajenga Nyumba yake nzuri tu!! ataishi na familia!! lkn huyu mfanya kazi wa USA ata ishia kula tuuu!! mpaka anakufa!!! ndo tofauti iliyopo tukiwaaambia muelewega!