Faka25
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 1,738
- 1,134
Hilo Mama HalijuiHajui asemalo. Kila nchi ina gharama zake za maisha. Kima cha chini cha mshahara US ni zaidi ya Tshs 5,000,000 . Kwa tafisili hiyo siyo ajabu chapati kuuza 10,000 huko Marekani kwa sababu gharama za maisha zipo juu na kipato cha ndani kipo juu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app